Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wanajf kwa wale mliowahi kusumbuliwa na amiba na sasa mmepona njooni hapa mnishauri kitu,maana hawa viumbe wananisumbua sana.Nataka kujua mliponaje maana mimi nimewatibu sana.Mara ninaambiwa bado...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wana JF, napata maumivu makali sana na sijui nini tatizo 1: maumivu ya tumbo la juu kama mtu amemwagia maji moto, kuunguruma, na linauma zaidi pale ninapokuwa na hofu ya kitu Fulani 2...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hello JF members! Naomba kufahamishwa umuhimu wa mafuta ya ngamia katika mwili wa binadam na matumizi yake. Jana tumechinja na kuuza nyama ya Ngamia katika kusherekea sikukuu ya Eidd. Nimepata...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Wapendwa.. Leo tumepoteza ujauzito wa mke wangu wa takribani mwez mmoja na nusu. Alianza kulalamika maumiv ya tumbo kisha bleed ilianza.Tuliwah hospital akapatiwa Dawa tu kisha kuruhusiwa kurud...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
-Upi ni wakati sahihi wa kuacha kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito? -Ni madhara yapi (ama faida zipi) awezazo kuzipata mwanamke akiendelea kushiriki tendo mpaka muda wa mwisho wa ujauzito?
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Jamaniii naombeni msaada wa ushauri au hata namna ya kufanya tiba kwa minyoo sugu iliyokaa mda mrefu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
*NGUVU ZA KIUME* Tatizo la nguvu za kiume limekua sugu miongoni mwa jamii zetu waathirika wakubwa wakiwa vijana Tatizo hili limegawanyika kwa aina mbali mbali kutegemeana sana na chanzo cha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni miaka 15, sasa nimeugua tumbo nawashukuru wanajf kwani hamkunitupa kila nilipokuja kuwaomba ushauri. Nilizunguka hospitali nyingi hadi Muhimbili lakini ikawa bila-bila!Namshukuru sana dakatri...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
*CARDIOLOGY IN TOUCH.* ```Tafadhali chukua walau dk 2 kusoma hii: 1. Chukulia ni muda wa saa 1:25 jioni unarudi nyumbani peke yako, baada ya kazi ngumu zusizo za kawaida ofisini. 2. Umechoka...
1 Reactions
0 Replies
765 Views
Hello DC,,, ni miez kadhaa sasa nasumbuliwa na meno magego (kulia na kushoto) hasa ninapokula chakula nahc yametoboka Naomba ushauri na msaada tafadhali maana inafika wakati nakichukia chakula...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wanawake/wadada mliowahi kufanya hiki kipimo cha HSG je mlifanikiwa kupata ujauzito, je kuna njia ya kupima tofauti na kipimo hiki maana kinauma sana usiku siku hiyo sikulala mpaka niliumwa...
4 Reactions
16 Replies
30K Views
WAKATI katika jamii nyingi ikiwa ni fahari kuzaa watoto mapacha, kitu ambacho wengi hawana habari nacho ni kwamba uzao wa aina hiyo ni ‘hatarishi’ iwapo hautabainika mapema hasa katika mataifa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari waungwana, Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia vijana wengi wakizungumzia kuhusu vumbi la Kongo kwamba inaongeza pulinge pindi unapokutana na mpenzi wako kwenye kupeana raha za...
2 Reactions
118 Replies
18K Views
Wanajamvi: Nimeenda hospitali nikaambiwa ninatakiwa nichome dawa inaitwa Ant-D..na nitakapojifungua nichome tena..nimeenda pharmacy kuulizia bei yake ni 180000...naomba mwenye uelewa na hii dawa...
1 Reactions
11 Replies
11K Views
Naomba kujuzwa zaid kuliko nijuavyo kuhusu hicho kipindi katika mambo ya uzazi hyo OVULATION (sjui nimepatia kwenye kuandika)na hyo Fertility window ni kipindi gani na kipi kinaanza na huwa...
1 Reactions
14 Replies
10K Views
Mmesemwa sana ila hamsikii na leo ‘ nawachana ‘ live / mubashara humu JF kuwa tafadhalini hebu tofautisheni basi kati ya Kung’oa misumari katika Mabati na Kung’oa Meno yetu haya yaliyo katika...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu salam, Naomba kufahamishwa kama Panadol inafaa kwa mtoto,ana miaka mitatu na miezi Kitano. Nimemgundua amevimba shingonj kama jipu au tezi upande wa kushoto,sasa nilipo SAA hizi maduka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kitambo kidogo kiasi cha wiki mbili sasa nimekuwa nikitumiwa picture hizi za mdudu huyu na hata nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii nimekuwa nikikutana nazo sana zikiwa na tahadhari kwamba...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Ndugu zangu, mke wangu anasumbuliwa na maradhi ya diabetes (kisukari). Anatumia dawa za Gema II. Zimemsaidia kiasi kwamba, pamoja na masharti ya vyakula, kiwango cha sukari sasa ni 5 hadi 7. Hiki...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom