Kumekuwa na dawa nyingi za malaria sokoni mpaka mtu unashindwa uchague ipi. Hata hivyo ufanisi wa hizi dawa nao ni wakutiliwa mashaka!
Ipi dawa yako unayoiamini ya kutibu malaria?
Habari za usiku wapendwa!Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima.Wadau mimi nipo Mwanza nina shida na mafuta ya peppermint oil,naomba kama kuna mtu anajuwa wapi yanauzwa anielekeze.Natanguliza...
Eti kwa mwanamke ambae siku zake ni abdormal , yani anaingia period baada ya miezi miwili . Je siku zake za hatari zinahesabiwaje! Ni siku ipi ambayo anaeza pata ujauzito!! Natakuliza shukrani.
Pamoja na kuwa ni ugonjwa unaotokana na kuzidisha kula lakini jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikiutafuta kwa hali na mali ili kuweza kupata heshima kwenye jamii.Mtu mwenye ugonjwa huo hupewa...
Za Humu ndani wadau.. Naomba kuelkezwa psychiatrist mzuri kwa hapo Dar.. Natokea mkoani nimeambiwa muhimbili kuna foleni....pia Kama ntapata nmbr za sim
Poleni Sana kwa majukumu ya kujenga Taifa..
Mzazi wangu Wa kike (Mama) umri kiaka 50s anasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi according to vipimo vya madakari.
Aliandikiwa dawa na anakaribia...
Hi Great Thinkers.The Title Expresses Itself.Keep On Commenting For I Know Jf Is Every Thing.I Also Welcome Our National Language Iff Necessary.Thank You.
Habarini
Naomba kuuliza kwa mkoa wa mwanza ni hospitali gani naweza kupata vipimo vikubwa vya HIV ?
Lengo la kuuliza ni kutokana na matokeo tofaut ninayoyapata kwa mdogo wangu aliepata ajali miaka...
Nimefanya jitihada za kujipunguza uzito ila naona nimeshindwa nazidi tu kuongezeka siku baada ya siku. Wenzangu wakiongeza mahela mimi naona naongeza kilo.
Mazoezi nafanya kidogo naacha naona...
Naamini jpl iko nzuri Kwa kila alie jaliwa kuiona ktk pita pita zangu za kupiga vibarua sehem tofauti tofauti nimegundua hz dawa za kuongeza siku za kuishi hazitakiacha kizazi hiki salama mbaya...
Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu, je mwanaume anaweza akapata maambikizi kwa kunyonywa mgegedo na mwanamke iwapo ameathirika? Vp kwa mwanaume iwapo anamnyonya papuchi mwanamke ameathirika?
Wakuu nipo kwenye game LA kutafuta mtoto mwaka wa huku 2,cha ajabu,xna nukikumbuka mbegu znazopotea kichwa chaniuma,mwanzo nilikuwa na x alipata mimba yangu ,mi sikujua nikasafiri mwaka...
Nawasalimu wote,
Leo napenda kujua na kufanya kautafiki kidogo juu ya miili yetu.
Napenda kujua kama huwa UNANYOA, KUPUNGUZA au KUACHA ZILE NYWELE ZETU ZA SEHEMU ZA SIRI. Pia tufahamishane kwa...
Mpenzi wangu tumepanga nimpe mimba lakini tukifuata zile tarehe mimba hainasi. Badala yake tarehe zinabadilikabadilika.
Nishaurini nifanye nini au nitumie njia gani maana mwenyewe nakuwa naye kwa...
Hemachromatosis ugonjwa ambao unatibiwa kwa therapeutic phlebotomy
Kwa post nyingi zaidi za kushangaza, kufurahisha na kuelimisha, tufollow kwenye mitandao ya kijamii. Hapa jf, facebook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.