Habari za leo ndugu zangu, mimi Jana nilimpeleka mtoto wangu hospital akaonekana amepungukiwa damu kidogo kwa mjibu wa Doctor hivo akaandikiwa dawa za kuongeza damu na nikaanza kumpa jana, cha...
Habari wapendwa
Nligundulika nna minyoo na UTI kisha nkapatiwa dawa, bt kabla ya kupewa dawa hzo nlipimwa ujauzito kwani hzo dawa haziruhusiwi kutumia mjamzito ila nlivopima haukuonekana (nahis...
Habari wapendwa, naombeni mnisaidie nligundulika na minyoo na UTI nikapewa dawa lkn kabla sijapewa nlipimwa ujauzito haukuonekana (nahs ni siku chache baada ya kuconceive) ndo nkaruhusiwa kutumia...
wakuu kwema?
kuna tatizo linaninyima raha kabisa,miguu yangu kuanzia kwenye magoti kushuka mpaka kwenye visigino inaniuma sana,tatizo hili linanitokea pale nikiwa nimelala tu au nimekaa...
Habari zenu wananchi!!
Nina mtoto wangu ambaye ametahiriwa wiki moja iliyopita, jana tukampeleka kwa dokta ili kusafisha kidonda.
Dokta akamcheki, kisha akatukabidhi kwa nurse ili amfungue...
Habari zenu wakuu, Naomba Msaada Kwa wale ambao wanaofahamu Tiba Au Mbinu zozote za kuzuia Kigugumizi wanisadie maana sasa limekuwa Tatizo Kwangu. Nawasilisha kwenu wakuu.
Jamani kuna ugonjwa umeingia hapa kwangu kuku hasa vifaranga kutokwa na manundu machoni ambayo husababisha macho kufunga na kutoona kabisa.
Wakuu nitumie dawa gani?
wakuu nina demu apa nilipiga siku za hatari na bleed akupata sasa zimepita wiki mbili anapima kwa kutumia tuvipimo tule tudogo wanatouza buku,anasema hakuna kitu,je mimba inachukua mda gani hasa...
naomba kujuzwa kuhusu hilo,,Nina mpenzi wangu yeye anaanza period tare 29 na kumaliza siku 4 mbele,,Sasa jana tumefanya kavu (tare 18 ya jana)..Je kuna uwezekano wa kushika mimba?..Naombe sana wa...
nilianza kutumikia kama ifuatavyo. mwezi wa kwanza tar 18 nikiwa Iringa, Mwezi wa pili tar 15 nikiwa Tanga na mwezi huu ni tar 16 yaani leo. labda nakosea maana nimejaribu njia nilizosoma hapa...
Too much alcohol is not good for the health as we all know and the body and mind both suffer, but mostly the brain and liver.
Alcohol includes wine, beer and liquor too are all depressants of the...
Naomba kuuliza hivi mtoto anatakiwa ajisaidie haja kubwa kwa muda gani baada ya kuzaliwa? maana kunamtoto kazaliwa na bado hajanyonya wala kula chochote lakini kapata choo tena mara mbili ndani...
Wanabodi,
Kuna familia nyingi zina matatizo ya uzazi yaliyopelekea kukosa watoto. Matatizo haya yako ya aina nyingi na yanasabishwa na sababu nyingi, mengine ni maradhi tuu ya kawaida ambayo...
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes
but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.