Habari wadau,
Naomba mnijuze kuhusu mfumo wa hedhi kwa mwanamke ulivyo, tarehe ngapi mara nyingi inaanza kwa hao wanawake?
Je, kwenye tarehe kama 19 inaweza kuanza? Pia je inakuwaje mpaka...
samani wana jamii...nimepitelewa na kadi ya bima ya taiga ya afya..
msaada kwa anayejua namba na hatua za kupata nyingine... Nwasilisha kwenu karibu ni kwa msaada
Habari wana JF, naomba msaada kama hili ni tatizo kiafya au ni hali ya kawaida!
Mara nyingi nikiangalia tukio la kusisimua hasa lenye kuleta furaha/faraja/huzuni kwenye tv, (movie au live event)...
Ndugu wanajamvi
Salaam
Kwa wataaramu Wa tiba
Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila...
Habari humu kumekuwa na ongezeko kubwa sasa la dawa za kuongeza maumbile ya kiume haswa za asili na za kizungu kidogo kama pump na jelly za kupaka na wamekuwa wakisema sababu ni kuumwa...
Habari za mchana madaktari, wabobezi pamoja, watalaam na wajuzi juu ya masuala ya afya ya watu.
Ninaomba ushauri juu ya tatizo la mtu ambaye ana shida hii ya kupata mtoto.
Hapo awali alienda...
Jaman vijana wezangu mm nilikuwa napiga sana masterbation au kujichua sasa misuli ya uume wangu umelegea sana na ombeni ushahuri kwa yoyote anaejua dawa ili nilejee kama awali
Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu
KENYA: Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza daktari feki aliyekamatwa nchini humo...
Habari za leo wana jf nimekuja kwenu tena nikiamini nitapata msaada au njia ya kupata ufumbuzi wa tatizo langu.
Mimi ni binti wa miaka 25 nina tatizo linanisumbua mwaka wa tano sasa kila...
Msaada wenu wakuu,
Kwa hapa Dar wapi kuna machine za kufanyia kipimo cha CT scan na wanafanya kwa bei nafuu? Nataka nimpeleke wife akapime kichwa.
Ningependa kujua gharama kabla hatujaenda...
Dokta naomba kusaidiwa,
Nimetumia antibiotic mwezi huu naona siku zangu zinapitiliza siingii kwenye mzunguko wangu wa mwezi kama mwanamke. Je, inaweza ikawa ni side effect ya dawa niliyotumia...
Habari wadau..? Mim ninamtoto ametimiza mwaka siku chache zilizopita, mwanangu anatatizo la kugoma kula, najua mtasema ni kawaida ila I wish mngepata nafasi ya kumuona maana wapo waliosema ni...
PARIS: People who shave, wax, or trim their pubic hair are at higher risk of sexually-transmitted infections (STIs), but less likely to get lice, a study suggested on Tuesday.
A survey of more...
Kama kinavo jieleza kichwa cha habari hapo juu.
Elimu ya uzazi wa mpango imenipita mbali hivyo upo uwezekano nikaaharibu future ya maisha yangu.
Kwa mwenye utaalam anielimishe, nisije kurudia...
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri...
Habari wakuu;
Jamani mimi naomba kujuzwa kwamba hivi mtu akifanya mapenzi halafu akakaa wiki moja,je akienda hospitali kupima je vipimo vitaonesha kuwa alifanya mapenzi?
Naomba kujuzwa maana mimi...
Yoga Pranayama Cures 140 Diseases - Swami Ramdev Ji on Indian TV Channels
Creating a "Disease Free Society - Medicines Free World"
Swami Ram Dev Ji has been daily declaring on Indian TV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.