Aina mpya ya vimelea vya ugonjwa wa kisonono au "gono" ambavyo vinahimili dawa(resistant to drugs) zinazotumika kutibu ugojwa huu imegundulika duniani. Taarifa iliyotolewa na shirika la afya...
Habari zenu wana jf......
Mdogo wangu ni mjamzito mimba kama mwenzi mmoja hivi ameenda hospitali ameambiwa ana U.T.I na TYPHOID amepewa amoxicillin 250mg atumie kwa siku kumi na anakunywa 2×3...
Habari zenu wanajamvi
Mimi nauliza nini kinasababisha unaamka asubuhi unajikuta kuna eneo la mwili limevilia damu na ilhali hujapigwa hujajigonga. Hii inatokea eneo dogo la mwili yaweza kuwa...
Kichwa cha habari kimeshajitosheleza hivyo karibu tu ' utiririke '. Hapo katika neno ' makende ' namaanisha ' mapumbu ' kwa wale ambao ni wageni wa Kiswahili sanifu.
Nawasilisha.
Wandugu salaam!
Naomba kufahamishwa ni wapi ninaweza kupata hivi vidonge VITEX chasterberry!!
Nimesoma mtandaoni ktk post mbalimbali kwamba hivyo ni vizuri sana kwa kubalance hormones za...
Habari za mda huu waungwana.
Kuna hili tatizo la midadi kwa vijana walio wengi dukuduku langu ni kua hili ni ugonjwa au ni nini na linasababishwa na nini na kama ni ugonjwa tiba ikoje?! Ni hayo tuu.
Umri wangu ni zaidi ya miaka 40. Ninaumwa nyonga. Nimetumia dawa za kuondoa maumivu za aina mbalimbali bila mafanikio. Miaka miwili iliyopita nilifanyiwa operation ya kuondoa fibroids. Sijui kama...
Heshima mbele wakuu,
Shemeji yenu alijifungua kwa njia ya upasuaji mwaka na nusu umepita sasa, lakini kila uchao tumbo halipungui utadhani ana nyingine. Na nikumwambia atafute namna ya kupunguza...
Natafuta dawa jamani,nikifanya romance inasimama vzr nilitaka kuingiza ina nywea.niinbox kama una dhamira ya kunisaidia.
Nimeenda hospitali nimeambiwa tiba laki nne pamoja na vipimo,nifanyeje
Samahani wadau, mke wangu kaharibikiwa na mimba mbili, baada ya kufanya vipimo ikagundulika kuwa makundi yetu ya damu hayafanani kwasababu mke wangu ana o- na Mimi nina o+ hivyo hupelekea mimba...
Wakuu heshima zenu.
Zakari yangu inasimama vizuri kama msumari, usiku mara nyingi inasimama yenyewe bila hata kugusa, ila mchana ni nadra mpaka uiguse kidogo.Je ntakuwa na tatizo.
Nawasilisha
Kufuatia suala la uzazi wa mpango, sasa hivi kuna njia ya wanaume nao kupanga uzazi kwa kufunga kizazi na kuto kuwa na uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke. Unakuwa unaweza kufanya mapenzi tu pasipo...
Habari zenu...
Jamani nimekua natokewa na vipele kama vya mbu sehemu tofauti,mara kune mguu,mara mkonono mara kune paja except usoni.....
Halafu baada ya siku chache vinapotea...
Yani...
kwaza za jioni.... naomba nisaidiwe nijue kama nimeshika mimba au laaaa...nimesex 31 juzi wthout kinga nina wasiwasi huenda nikawa na mimba mara ya mwisho kwenda period ilikuwa octor 16 mzunguko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.