Habari wana Jf
Kuna mschana alijifungua akiwa na umri mdogo kwahiyo alifanyiwa operation kwenye njia ya kizazi ili mtoto apite (Episiotomy). Sasa tatizo ni kwamba analalamika sehemu zake za siri...
Watalaam salamun.
Naombeni kujulishwa juu ya chanjo wanazochanjwa watoto wadogo sehemu mbalimbali za miili yao, ambazo huwatesa kwa kuwa huwa ni kali sana. Chanjo hizi ni universal au wazungu...
Habari zenu wazima!
Nahitaji kujua mwanamke ukiwa unakutana na mwanaume mara moja kwa mwezi au zaidi ya miezi 3 unaweza kupata matatizo au ni vizuri zaidi unatunza mwili? Na kama ni matatizo ni...
Habari zenu Ndugu!
Mimi ni kijana mwenzenu nina mtoto wa kike tayari sasa hivi nahitaji mtoto wa kiume. Je, ni taratibu gani naweza kuzifanya ili kupata mtoto wa kiume kupitia mzunguko wa siku za...
Imetokea kwa binti mwenye ujauzito wa miezi saba mtoto akaacha tu kucheza pasipo sababu takribani siku tano sasa, ila kipindi cha nyuma alikuwa anaumwa tumbo sana akafanyiwa uchunguzi hospital...
Ni kama week ya pili sasa tangu nitoke nyumbani TANZANI nakufika hapa LUSAKA ninajisikia homa kali kali nikajua ni maralia nimekunywa dawa Sp, bado najisikia vibaya mbaya zaidi miguu inakua...
Dada yangu ni mjamzito wa miez8 tatizo kaambiwa fuko la uzaz limeshuka sana, halaf kama wiki hivi anahisi maumivu ya kiuno kama ametunza taka (majipu) na chini ya kitov na K vinauma sana, je ni...
Hello...nlikuwa nauliza mimba ya wiki 2 inaweza kuonekana kwenye ultrasound? Maana nataka nijue kama imetunga mahari panapostahili maana nyngne zote za nyuma ziliharibika ya kwanza sikupima...
Habari zenu, kuna wakati nikila kitu huwa nahisi kama joto tumboni hata kama maji ya baridi japo sio mara zote ni mara chache sana hii husababishwa na nini?
Hello drs naomba Tujadili kidogo kuhusu Matibabu ya Malaria Kali kwa mtu mwenye sukari ya Kupanda.
Kuhusu Guideline ya Tanzania Wamegawa matibabu ya Malaria kwenye magroup matatu
Kwa...
Rejea kichwa cha habari hapo juu..
Nina rafiki yangu amekuja hapa home kuniomba ushauri kwamba kuanzia abalehe almost (miaka 10) imepita amekuwa na tamaa na wanawake wazuri wote anatamani wawe...
Habar docta nin rafiki yangu ni mama kijacho anaumwa miguu San na kuvimba pia tatizo n nn na ameambiwa aende Hosp akapime kipimo cha doplo aghakni mguu 1 laki 3 je n tatizo kubwa n nn madhara pia
Habari za usiku.
Jamani nauliza unaweza kufanyaje ili uwe na usingizi wa haraka ukishafika kitandani? maana mimi tangu nmeanza kujijua udogoni sinaga usingizi wa haraka.
Naweza kaa kitandani...
Engineer msomi, 36 years old. Yuko mascular, jitu la miraba minne, urefu futi sita na nchi kumi, manish face, kichwani yuko njema na mfuko umenona.
Kitandani bao 1 ndàni ya dakika tatu, je...
Habari wana jamvi..naomba kujua mahusiano yaliyopo baina meno na bati/sinia..mimi mwenyewe niko hivi mtu akisugua sinia la bati kwenye sakafu au mchanga kile kijisauti kinachotoka huwa kinanifanya...
Natumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.