Habar zenu jaman naomba mnisaidie mwenzenu napata shida sana hasa pale nnapo tumia chakula mfano nyama ya ng'ombe au ya kuku nakua navimba shingo kupinda kwa tabu, mda mwengine nahic kama kuna...
Okro, also known as the “ladies finger” is a flowering plant in the mallow family. It is very nutritious as it is highly rich in carbohydrate, vitamins, water, and protein.
But studies have shown...
The President of Gambia has claimed he can cure AIDS…but only on Mondays and Thursdays.
Yahya Jammeh has ruled the country since 1994 when he was swept to power following a military coup. During...
Mara nyingi nikipiga bao la kwanza napumzika karibu nusu saa ndo napata uwezo wa kuendelea na round nyingine, kwa maana kuwa baada ya bao uume unalala mpaka nusu saa ndio unasimama tena.
Naomba...
Habari zenu madokta,naomba msaada wa kunisomea majibu hayo nimepata kutoka maabara ya lancert,nahisi maumivu japo sio sana napoenda haja ndogo,kuna ndugu kanishauri kufanya culture japo sijapitia...
Wadau habari.
Naombeni msaada wa kitalaam wa kitabibu.Wife alikuwa katika siku zake za hatari nilipohesabu kalenda ilikuwa ni siku ya 14.Nikatumia condom maana tunapanga uzazi ile namaliza tendo...
Kwa wajuzi nisaidieni,
Mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma, anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida, inafikia hatua...
Naombeni msaada wenu wa haraka ilipo hospitali ya ccbrt nahitaji kumpeleka mtoto kwa ajiri ya kuangaliwa miguu yake ambayo inamatege. Please i need your help hata ushauri pia. NB: mtoto ni wa...
Kwa wanaume wa nguvu, supu ya ngombe, kuku, mbuzi etc. ni muhimu sana kuboresha utendaji kazi mwilini na kujenga taifa kwa ujumla. Ufikifika kwenye hotel na migahawa hasa nyakati za asubuhi...
Naombeni msaada wakuu kwa mtu anaejua hili tatizo nikiwa natembea juani au hata nikiwa ndani joto lamwili likipanda napata muwasho mmoja waajabu sana mwilini.
Yani naweza nikawa nipo ndani nikawa...
TONGUE TIE/Ankyloglossia...ni hali anayozaliwa nayo mtoto ambapo kunakuwa na kinyama kidogo chini ya Ulimi kilichoshikana na Sakafu ya Mdomo(floor of the mouth)
Hali hii huathiri makuzi ya...
Ivi inawezekana mwanamke baada ya kujifungua tumbo lake likawa gumu kama zaman?? Na ni nini chakufanya ili yale manyama nyama ya tumboni yaishe yani tumbo liache kulegea na kucheza cheza?
Habari Wanajamii!
Pengine hii mada ilishawahi kupewa maelekezo hapa ukumbini ila kwa ugeni wangu mnivumilie kwa swali hili! Jana nilipata wasaa wa kushuhudia watu wanatibiwa kwa kutolewa sumu...
1. Ugonjwa wa moyo
Kiasi kingi cha madini ya magnesium katika mbegu za maboga yanazifanya mbegu hizi kuwa mhimu sana kwa watu wenye magonjwa mbalimabli ya moyo. Madini ya magnesium ni mhimu kwa...
Habarini wataalam wa afya,,nimejitokeza hapa kuja kuomba ushauri wa kitaalam kuhusu tatizo la kifua,nasumbuliwa na kifua kukohoa kwa muda mrefu na muda mwingine huwa kuna kimruzi flani hivi...
How many hours of sleep do you get at night? I hope your answer is between 7 and 8 hours per night.
Sleep is not a luxury, it's a necessity to keep your body healthy, your energy bouncing and your...
Jamani msaada pleasee kwa mwenye kujua dawa ya kuondoa maumivu ya miguu kwenye unyayo. Maumivu hutokea kila mara unapotaka kutembea baada ya kukaa hata kwa muda mfupi au kulala. Uzito wa mwili ni...
Ni pale ambapo kunakuwa na mkusanyiko wa maji kati ya kuta mbili zinazozunguka mapafu. Kujaa huku kwa maji husababisha mgonjwa kupata shida ya kupumua vizuri.
Je mapafu kujaa maji...
wasalaaam wapendwa
Naomba kujua jambo kuhusu hiki kipimo cha ukimwi sd bioline,ni kwamba kimeandikwa dont read result after twenty minutes it may give false result,ok nahitaji mnifamishe...