Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari Wana-JF. Nimeumwa na nyuki katika jicho la kushoto limevimba kuna uvimbe mkubaw nini dawa yake? Msaada tafazari!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna siku nikiwa kwenye sita kwa sita na mke wangu gafla nikawa kama nime teguka karibu na haja kubwa nikiwa na ejaculate hapo nikahisi maumivu ila baadae yakapotea nikaendelea na gemu kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
ziko sababu nyingi zinazoweza kusababisha hali hii ya kutokea kwenye kinywa, lakini chanzo chake kikubwa ni maradhi yanayosababishwa na fangasi. Maradhi ya fangasi ya kinywa huweza kuathiri koo...
1 Reactions
3 Replies
20K Views
Kitaalamu/Anatomically moyo wa mwanadamu unatakiwa uwe upande wa kushoto wa kifua. Dextrocardia ni hali ya moyo wa mwanadamu kuwa upande wa kulia wa kifua. Ndio maana inashauriwa baada ya mama...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
MKE mwenye mimba changa akaingia bleed tumbo kuuma leo no siku ya tatu tatizo tangu litokee, afanye nini? naombeni ushauri
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto). Kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili, pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo...
2 Reactions
108 Replies
36K Views
Wakubwa hili tatizo la mtu kupiga bao la kwanza then mashine ina doro kwa mda wa takriban 40 minutes solution ni nini?
0 Reactions
1 Replies
859 Views
IDADI ya watu duniani inakadiriwa kuwa bilioni 7, kutoka bilioni 2.5 mnamo mwaka 1950. Ukuaji wa haraka wa idadi ya watu umeathiri usambaaji wa magonjwa kwa njia zifuatazo: 1. Msongamano na...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Mwanamke au binti anayekaribia kuvunja ungo/kubalehe anapata madhara gani makubwa au yoyote kiafya kama akibakwa? Naomba majibu yenye utu wana JF
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, wanajamvi Naomba msaada mpaka sasa bado mwenzenu sijabahatika kupata mtoto. Swali langu ni; Je, nikishaanza kutoa mbegu(kupiz) huwa haziruki zinatoka kama vile unamimina maji kutoka...
1 Reactions
43 Replies
27K Views
Naamini mu wazima, Naomba msaada wa kujua dawa ya Utango tango mwilini,nina ndugu zangu wameathirika sana na huo ugonjwa unaofanana na mapunye,wametumia dawa mbalimbali lakini bado shida ipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumai mko poa,kuna hili tatizo nilikuwa nakutana nalo sana kipindi cha nyuma yaani nipo na demu namtongoza lakini cha kushangaza huyu jamaa huku down kesha simama kidedea hii ikoje wadau ???
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu hii ishu imenitokea leo na si mara ya kwanza kubanwa na uharisho nnapopata wasiwasi au habari mbaya Wataalam hii ipo vipi?
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema... Kwa yeyote mwenye dawa ya pumu au asthma tafadhali.... Ile ya karaafuu imejaribiwa haijasaidia... So mwenye altenative
0 Reactions
0 Replies
501 Views
A), COMPOUND MARROW POWDER : Supplements calcium and magnesium to relive osteoporosis symptoms such as joint pain and lumbago; : strengthens hematopoietic function. : Improves immunity;relieves...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
habari zenu wadau nina ndugu yangu mwanamke anaumwa seheme ya tumbo iliyo chini ya ubavu wa kulia halafu anasema na mguu wa kulia unamuuma je ugonjwa gani?
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Jamani wataalamu nawaombeni msaada mke wa ndugu yangu (shemeji) yuko na mimba mwezi wa 3 tena unakaribia cha kushangaza baazi ya siku anakua anatoka damu hasa asubuhi akiamka ila anakua haioni...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Ushauri tafadhali, Mwanamke kutokwa na damu tumbo kuuma wakati ana mimba ya miezi miwili ni dalili ya mimba kutoka au jambo la kawaida? Nini kinasabisha na solution ni nini? Naombeni majibu...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Tumeshajua nguvu za kiume ni nini, jinsi uume unavyo simama, hatua za kusimama kwa uume, pamoja na mambo yanayo fanya uume uweze kusimama na kuwa na uwezo wa kuendelea...
0 Reactions
18 Replies
30K Views
habari za LEO jamani, mimi ni kijana wa kiume ninasumbuliwa na uti, Mara kwa Mara mwili Wangu unachemka na kupata homa. baada ya kupima daktari aliniambia Nina fangasi wa njia ya mkojo ambao ndio...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom