Bila shaka mu wazima mukheri wa afya njema, imenilazimu niandike humu kuomba msaada wenu wa ushauri, sielewi ni nini kimenipata, nilikuwa na demu wangu ninaempenda saana,sababu mm ndiyo niliyemtoa...
Habari yenu humu ndani?
Nina mtoto wa kike ana umri wa mwaka mmoja na miezi minne, sasa week iliyopita alikaa siku tatu bila kupata aja kubwa lakini ilifika wakati anasikia kupata aja na aja...
Habari Jf doctors!
Ni wiki sasa jogoo (uume) wangu haujawahi kusimama , iwe asubuhi au usiku jamaa kalala ,, sijui sababu gani? najitahid kunywa Maji mengi na kufanya mazoez kila siku Ila jamaa...
Maziwa ya mama yanafaida nyingi sana kwa mtoto anyonyae mfano yanamkinga na Maradhi mbalimbali kwani yana virutubisho vinavyompa mpa kinga mtoto(Immunity),yana joto linalotakiwa na mtoto,ni rahisi...
Wana Jamii Forums hamjambo.
Ni sababu zipi zinasababisha mtu kuwa na makengeza asilia? (Hapa siongelei makengeza ya ajali za ukubwani).
Nimekuwa nikifuatilia na nimegundua watu wengi wenye...
Hivi Kuna uhusiano gani kati ya kutoa mimba na kuwa na maji ukeni? Rafiki yangu amekata tamaa ya maisha anahitaji msaada, anadai kabla hajatoa ujauzito alikuwa anashiriki tendo Bila shida yeyote...
Hi!
Naombeni msaada nikicheka sana yaani baada ya jambo fulani la kufurahisha naona giza na baada ya hapo napoteza fahamu kwa muda kama dakika mbili imewahi kunitokea mara ya tatu sasa
Hii ni...
Naombeni Msaada,
Mke wangu alitumia hivi vidonge vya uzazi wa mpango, baadaye akaamua kuachana navyo baada ya kusikia kuwa vina madhara yake pia.
Sasa changamoto imekuja kwenye mzunguko wa hedhi...
Habari zenu ndugu zangu?
Naombeni ushauri juu ya kupatwa na majipu ambapo sasa ni mara ya tatu ninapatwa na majipu kwa muda tofauti. Hapo kabla sikuwahi sumbuliwa na majipu. Lakini sasa ni mara...
Jamani naomba msaada wa kisayansi nijue ukweli. Niko chuo na marafiki zangu tukisimuliana about sex utasikia jamaa anasema nimemla manzi mpaka kapiga bao likatoka kabisa nje zito tena jeupe mpaka...
Nikimalizaga goli la kwanza kibamia kinakuwa legelege sana. Mtalimbo unalala doro hadi naona aibu mbele ya mkunwaji. Nahisi ni kutokana na kupiga puli kwa muda mrefu.
Nifanyeje jamani.
Wadau naomba kujuzwa namna ya kutumia hivi vidonge kwa mwanamke mwenye kusaka mtoto vinatumiwa wakati gani? Kwa maana ya wakati wa period ,baada ya period tu, au akiwa akiwa kwenye siku za hatari...
Max Pemberton
There is now a deadly virus, which anyone can catch from sex with an infected person. If we’re not careful, the people who’ve died so far, will be just the tip of the iceberg… If...
HUTCH NEWS
Timothy Ray Brown: the accidental AIDS icon
The ‘Berlin patient’ didn’t ask to be cured of HIV; now he wants a cure for all
Feb. 20, 2015
|
By Mary Engel / Fred Hutch News Service...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.