Wakubwa najua humu ndani wapo matabibu wanaweza kunisaidia leo nilifanyiwa sperm analysis nikapata majibu yafuatayo.
Sperm mophology imeonekana baadhi ya shahawa kwa kiwango kukubwa zimeonekana...
Naombeni kama kuna madhara yoyote ya kunyonya papuchi maana nahisi nimekuwa mgonjwa wa kupenda hii kitu na matiti nisipo nyonya huwa sijisikii kama nimefanya mapenzi naona imeshaniathiri mpaka...
Nahitaji ushauri wa kitabibu juu ya madoa sugu kwenye ngozi ya miguu. Hii ni baada ya kupata aleji baada ya kula nyama ya nguruwe.
Ningependa kujua dawa gani ninayoweza kutumia bila kujali aina...
Tangu nikiwa mdgo nasumbuliwa na matatizo ya kuumwa Kichwa na huwa knauma usawa wa jicho la kulia kwenye paji la uso (jicho la kulia kwa juu) na tatizo hilo hutokea hsa kama nikishinda na njaa...
Habari wanajamvi...
Kama title inavyojieleza, naomba anayefahamu duka la dawa lolote linalotoa huduma kwa kutumia card za NHIF kwa hapa dar hasa maeneo ya posta, kariakoo na kigamboni hapa Dar es...
Eti kuondoa utata wa kuwa mimba imetunga baada ya kupitisha muda kwa siku mbilitatu hadi wiki,ni njia gani unaweza kufanya ili ukapangua ? Nilisikia kunywa kahawa iliyochanganywa na limau au...
Mm ni yule niliye piga demu kavu kavu demu ambaye ameathirika. Nikapewa dawa ya PEP, leo nimezimaliza nimeenda hospitali kupima kile kipimo cha kudondoshea damu ikaonesha control akaniambia...
Wataalamu Nina ndugu yangu alipata ajali mwaka 2011 alipata majeraha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa ni pamoja na usoni na kumsababishia makovu kwenye Paji la uso na linampelekea kukosa raha na...
Naomba mnisaidie wana JF, hivi wazazi wote wawilI wenye albinism, kuna uwezekano wa kuzaa mtoto asiye albino? ikiwa ni kweli inawezekanaje?
Nisaidieni ndugu zangu.
Jamani si utani ni ukweli kabisa yani wakati wa tendo nikishapiz basi siwez rudia tena, punyeto sipigi nakula vizuri sasa cjui tatizo nini nisaidien jamani
Kwa kuongezea mpenzi wangu huwa...
Habari zenu wapendwa
Mim ni mama mjamzito mimba ya kwanza nipo siku za mwisho kabis mda wowote Mungu akijalia najifungua..
Tatizo nimepoteza hamu ya kula kabisa nakunywa chai tu na uji pamaoja na...
wana sema kunako watu hakukosi jambo... Nami naamini swala langu kuna mtu huenda akawa na jawabu lake.
Toka nime zaliwa sijawai kula kabisa vyakula vya ngano... Japo nili wai kuonja mkate nikiwa...
Habari jamani,
Naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo. Hospitali tumeshindwa.
Msaada wa maombi ndugu...
AIDS epidemic no longer a public health issue in Australia, scientists say
Exclusive by Stephanie Dalzell
Posted Sun at 7:09am
PHOTO: Lloyd Grosse was diagnosed 30 years ago and told he had three...
Madaktari hebu nisaidieni juu ya hili,nimeshuhudia watu wengi wa karibu yangu wakifariki vifo vya ghafla baada ya kutumia dawa za kurefusha maisha(Arvs).
Naomba kujua kwa nn hali hiyo inatokea...
Juzi iliripotiwa kuibuka kwa ugonjwa wa ajabu huko dodoma na watu kadhaa walipoteza maisha.
Leo kupitia magazeti imebainika kwamba ule ni ugonjwa ambao chanzo chake ni sumu kuvu ambayo hupatikana...
Kuzeeka ni jamba moja kutoweza kuepuka kwa binadamu, lakini tunaweza kuchukua hatua kupunguza athari mbaya zilizosababishwa nalo. Na zifuatazo ni mambo 9 yatakayokusaidia kuahirisha kuzeeka.
1...
Mim ni msichana na miaka 25. Tatizo langu ni kwamba cpati ujauzito. Nshaenda hosp kwa dk msuya arusha nnikafanyiwa vipimo na dawa nikapewa nikameza lakini sipati mimba. Tatizo nilonalo alosema...