Poleni na majukumu,
naombeni msaada wa mawazo na ushauri tafadhali,
mimi baada ya kujifungua kwenye magoti ndani ya zile nyama huwa nina hisi maumivu saa hasa pale ninapopiga magoti mf. Wakati...
human chorionic gonadotropin (HCG)
Generic Name: human chorionic gonadotropin (HCG) (injectable) (HUE man KORE ee ON ik goe NAD oh TRO pin)
Brand Name: Novarel, Ovidrel, Pregnyl, ...show all 10...
watu wa maabara tujuzane kuhusu hizi upt,nimempima mke wng leo mkojo ili kutambua uwepo wa mimba.upt imeonyesha mstari mmoja umefifia kama ulikuw unataka kuja na wa pili kuelekea kishikio umekolea...
Napenda kuwashukuru wana JF kwa kunipa njia mbalimbali juu ya tatizo langu ambalo nililianisha jana kuhusu Jogoo langu kulala kwa mpigo mmoja 2, kwani Leo nimelifanyia kazi na nashukuru goli leo...
MAISHA yalivyo sasa si sawa na yalivyokuwa miongo kadhaa iliyopita. Wakati huo wanawake waliingia kwenye ndoa katika umri mdogo (mara nyingi usiozidi miaka 25) na kuchukua jukumu la kuzaa na kulea...
Mwanamke mjamzito anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Hata hivyo tafiti nyingi zinathibitisha idadi ya wanawake wajawzito wanopatwa na vidonda vya tumbo kwa sasa ni ndogo...
Historia ya babu zetu inasema mwanaume alietairiwa huwa anapendwa sana ni kweli me sijui but me ni nimewaona jamaa zangu wa eneo fulani huwa wanapendwa sana ingawa hawajatahiriwa na wanapendwa...
Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.
Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara...
Leo nataka tufahamu namna ya kuwatambua waadhirika wa ukimwi kwa nje mfano huwa wanakonda, kikohozi kisichokua n kikomo hata nywele kubadilika hata hawa wanaotumia ARVs. huwa ngozi inabadilika...
Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tufanye ili kuiongeza hiyo kinga ndani ya miili yetu. Suala la kuimarisha na kuiongeza kinga ya mwili linapaswa kuwa ni...
Ni miezi 4 sasa jamaa hakiwika mara moja tu hiyo hadi kesho yake vp ndugu zangu nahitaji msaada ila nimekunywa Ngorika ya Kimasai weeeee lakini haitaki kusikia.
Habari zenu wanaJF, nina mdgo wangu hapa 12yrs old, tumbo lake ni kubwa , sio la kawaida kiukweli. Na sio kwamba yey n mnene unaweza sema ana kitambi hapana, ni mwembamba tu.
Msaada wandugu...
VYAKULA VYA KULA KILA SIKU ILI KUITHIBITI PRESHA YA KUPANDA
Foods to eat to control high blood pressure
1) (Garlic is natural medcine for treating high blood pressure)
KULA KITUNGUU SAUMU...
mm ni miongoni mwa watu wanaosaka mtoto kwa muda wa zaid ya miezi sita,leo nakuja kwenu nauliza mke wangu mzunguko wake ni wa siku 30 na mwez huu wa nne smeblid tarehe 26 je siku yake anayoweza...
Mwenye namba za simu za Tumaini hospital naomba anisaidie ikiwezekana na pia kupata namba ya simu ya specialists wa mgonja ya njia za mkojo hasa kwa wazee na matatizo mengine ( urologists)...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nina tatizo moja linalonisumbua kwa muda mrefu.
Tatizo lenyewe ni hili;
Ninapokuwa na mwenza wangu au wale wa kupita maeneo ya kitandani Mawazo na hisia...
Habari wanajamv?
Ni miaka kama miwili sasa naona kunaongezeko la ukuaji wa kifriji changu, ningependa kujua ni mazoez gani husababisha kubalance tumbo,
msaada please
Dawa ya Aspirin yawasaidia baadhi ya watu kukinga ugonjwa wa moyo na saratani ya utumbo mpana (colon)
Kikundi cha huduma ya kinga cha Marekani USPSTF kimesema, matumizi ya kidonge kimoja cha...
Nilikua nina shida naomba nijibiwe kwa ufasaha kabisa kwa ambae hajui ni vizuri kukaa kimya ili na yeye afaidike....
Suala langu ni kwanini nikijamiana hua nawahi kufika?
La pili dawa gani ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.