Kuna siku niliandika kuhusu ugonjwa wa ngozi sehemu za siri nashukuru baadhi yao walinipa mwongozo kuhusu dawa lakini lile tatizo bado linaendelea msaada tafadhari
Wataalam nisaidieni jamani, huwa kuna kipindi inatokea nawashwa sehem ya haja kubwa mara tuu baada ya kujisaidia, baada ya muda panaacha tena, kosa nikienda kujisaidia tuu, ni ugonjwa gani huo
Naomba Category ya magonjwa yanayowapata/tibiwa/ripotiwa mara kwa mara katika hospitali za Tanzania.
Itapendeza nikipata na kiswahili cha kila category ya kiingereza utakayotoa.
Mfano
1...
Habari wakuu,
Nina kijana wangu wa kiume ndo anatimiza miaka 2 tatizo lake kutokwa UDENDA.
Anatokwa udenda mpaka analowanisha nguo within an hour.
Msaada kama unajua tiba
Tatizo hili kitaalam tunaita Halitosis linawasibu wengi bila kujua
Tiba
Chukua baking soda (bicarbonate) kijiko kimoja kikubwa, limao 1 au ndim changanya na maji kikombe kimoja
kunywa kila siku...
Nawasalim kwa jina la anayetupa uhai, nianze kwa kusema tuu, ni mjamzito wa miezi 8 na wiki mpaka sasa, hivi karibuni nimeanza kuhis maumivu makali yanayoanzia chini ya kitovu mpaka sehemu za...
Wakuu napata maumivu katika hali zifuatazo:-
1.Wakati fulani nikimaliza kukojoa mwisho natokwa na manii halafu maumivu makali ya korodani yanafuatia.
2.Nikitamani kufanya ngono hata kama...
Hi Jf doctors!naomba kujua maajabu ya mbegu za papai na tikiti katika mwili wa binadam vilele maajab ya Mloge maana nimekuwa nikisikia tu kwa muda mrefu sasa kwamba mazao hayo ni tiba kubwa.
Habari wanajf,
Kuna kitu kinanishangaza katika ugongwa huu wa macho ambao umezoeleka kama red eyes,nikiwa kama mmoja wa niliopata tatizo hili tena kwa mara ya kwanza toka nimeanza kuusikia au...
Habarin ndugu,
Naomba kuuliza, mwanamke anapotokwa na hedhi mfululizo bila kukata zaid ya mwez mmoja au zaid, ni nn chanzo chake na nn matibabu yake, mwenye majbu tafadhali.
Wanajamvi, nitakuwa nawaletea faida ya matunda na mimea mbalimbali kwa ajili ya afya zetu, nikianza na TIKITIMAJI:
Kuna imani kwamba tikitimaji (kama jina lake) ni tunda lililojaa maji kwa wingi...
MATATIZO YA UZAZI KWA WANAWAKE.
HARUFU MBAYA UKENI.
Hili ni tatizo lisumbualo wanawake wengi duniani, kutokwa na harufu mbaya ukeni hususan wakati wa tendo la ndoa. Hali hii ya kufedhehesha...
MATATIZO YA UZAZI KWA WANAUME.
Wanaume wana matatizo mengi sana ya uzazi tofauti na inavyodhaniwa kuwa Wanawake pekee ndio wana matatizo hayo. Mtatizo nimengi kama vile kukosa hamu kabisa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.