Kuna Hali imenitokea kila napokuwa faragha na mwenza wangu siyo Hali ya kawaida maana nachukua Muda mrefu sana bila kufika mshindo.
Muda mwingine mpaka ninae kua nae faragha anakua mkali zamani...
LEO TUANGALIE UGONJWA WA KISUKARI.
Kisukari ni ugonjwa hatari sana ambao unawasumbua watu weng sana,waume kwa wake hususan watu wazima.Katika makala hii fupi hatukusudii kuzama sana na kuuchambua...
mimi ni mtumiaji wa pombe hususani beer ila nikiishiwa napiga voroba vya konyagi.unywaji wangu ni wa kaiwada sana yani huwezi kutambua kama nimekunywa zaidi ya kuchangamka na kuwa mcheshi.kwa kuwa...
Habari Wadau wa Afya..
Natumaini humu kuna madaktari na wakunga labda.
Inawezekana swali langu limeshaulizwa but mnaweza kunisahihisha pia.
1.Hivi Mtoto wa Kiume ni Lazima azaliwe akiwe zaidi ya...
Jaman wanajamii forum nina ilo tatizo kama inavosema heading, Naomba Ushauri au msaada wenu kwa anaefaham dawa au njia ya kulifanya ilo tatzo lisiwepo sababu linanikosesha amani ya kuvaaa open shoes.
Kama kichwa kinavyoeleza....natafuta hiyo kitu kwa ajili ya kuwapa ng`ombe uli wawe wanafanya metabolism kwa haraka....mwenye info zaidi ani pm.....thanks
Habari zenu Mabibi na Mabwana.
Naombeni kujuzwa kama kuna huduma ya kukata na kupanga meno hapa Tanzania, na kama ipo niwapi inapatikana? If possible naomba kujuzwa na garama, manake kunamshkaji...
Asalaamaleykum.wanajamvi leo kunakitu ningependa kushare na nyinyi natumain mwishon ntapata ushauri wenu.ok,mimi nna mpenzi wangu,mpenz wangu huyu ni mlokole wa nguvu sana,nimekaa nae kwa mda wa...
Habari zenu wana JF...
Juzi nimefanya mapenzi na wanawake wawili tofauti. Leo nahisi kichwa cha uume kinawasha... Je ni dalili ya ugonjwa gani?
Hao niliofanya nao mmoja amepima hana UKIMWI na...
Heshima zenu wakuu
Nina jamaa yangu siyo member wa JF anahiyo shida,
mtoto wake alianzaga kuongea alivofikisha mwaka na nusu then akaugua kifua akaacha kabisa kuongea,
Mpaka sasa anamiaka mitatu...
Siku zilizopita tuliweka thread juu ya mafuta uzuri (uturi) ya Miski na Alhamdulillah tunashkuru kwa kutuunga mkono.
Tunaendelea wajulisha wanaohitaj Miski original tuwasiliane ..bando ya chupa...
Dalili zinazoashiria magonjwa ya akili ni nyingi sana, baadhi tu ni ambazo zimegawanyika katika makundi matatu ni kama ifuatavyo:
i) Kihisia
· Kukosa furaha na kuhuzunika sana
· Kuwa na furaha...
Salam wapendwa nikiwa mdogo nlikuwa napenda sana kula udongo hata nilishwe chakula kitamu kias gan lazima ntautafuta udongo kwenye nyumba fulani nchokonoe nile.
Utafiti Wangu...
What is Cholesterol?
Cholesterol is a waxy fat like substance that is found in all cells of the body. The body produces 85% of cholesterol required; while the other 15% is gotten from certain...
Kutembea ni njia salama na nzuri inayosaidia kuujenga na kuuimarisha moyo uwe na afya nzuri na usio katika hatari ya kushambuliwa na maradhi. Mazoezi au tabia ya kufanya mazoezi inayo faida kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.