Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Happy NY Asilimia kubwa ya watu huenda sana kula huku wakishushia na maji tena ya baridi sana, imeshakua desturi ya kaya nyingi kuandaa chakula na maji ya kunywa au mtu anaginga viepe na soda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba dawa au ushauri wa namna ya kuutunza ulimi kwan nimekuwa na tatizo la kutokwa kama vidonda kwenye ulimi halafu na kupotea kwa muda mfupi. Sina HIV wala kisonono na huwa natatumia...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Pata utofauti huu wa Heart Attack,Cardiac Arrest na Stroke katika picha,Mungu awabariki
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanaume ni vipimo (units) 3 kwa siku au 21 kwa wiki. Kipimo kimoja = chupa 1 ya bia; bilauri (glass) 1 ya mvinyo = Tot moja ya whisk, gin, konyaji nk. Wanawake: Wasizidishe vipimo (units) 3 kwa...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Fangasi ni nini Watu wengi hawajisikii vizuri unapokuja wakati wa kuzungumza juu ya fangasi kutoka na namna ugonjwa wenyewe unavyochukuliwa na jamii. Hii inatokea sababu mara nyingi ugonjwa huuu...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
wasalaaamu Awali wa yote wote tunajua kuwa ni weekend kwa hiyo huwa watu wanatoka sehemu mbalimbali kupunguza stress na uchovu wa wiki nzima Kwa upande wangu ninapokua napata baridi na moto huwa...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
Habari, nina mdogo wangu kaniuliza swali nimeshindwa kumjibu ... Yeye huwa anaingia katika siku zake tarehe 7 au kumi na mbili sasa tarehe tatu alikutana kimwili ananiuliza atakua hana mimba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu wa nchi hivi kuna mtu alishawahi kupona kisukari type 2? Msaada jamani .
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za weekend wakuu... nimepata demu mpya tupo kwenye mahusiano miezi miwili sasa, mtoto mashalaah, sura ipo, rangi anayo, shepu ndio usiseme kwa kifupi mungu amemjaalia sana na hata tabia...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Asalam wana Member wote, Kuna kijana(Me) ana umri wa miaka 25, tangu azaliwe hajawahi kufanya tendo hilo, ni mhitimu wa chuo kikuu kimoja wapo hapa Dsm. Baada ya kusumbuliwa sana na maradhi ya...
3 Reactions
60 Replies
8K Views
Mtoto ana umri wa miaka minne ana tatizo la kutoka kamasi zito la rangi ya manjano muda wote. Je hilo ni tatizo gani? Naomba Doctor nisaidie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu wa nchi naomba kuuliza, kama Kuna mtu anayejua hospital inayofanya hiyo IVF kwa hapa Tanzania msaada please.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Salaam wadau ; Katika kupita pita kwangu mtandaoni nikakutana na side effects of Arvs kwa mtumiaji.kinachonishangaza ni kwamba baadhi ya hizo athali ni mbaya zaidi kuliko hata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, nilikuwa naomba mnijulishe ni jinsi gani mtu anaweza akautreat ugonjwa wa Social Anxiety Disorder coz nina mdogo wangu ambaye I think anao coz dogo ana aibu ile mbaya hadi...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari za Siku nyingi ndugu zangu nina shida naombeni msaada wenu sana Mama ni mama kijacho wa wiki 23 kuna kakipele kalinitokea sehemu za siri kwa nje kwenye mashavu karibia na mstari...
0 Reactions
53 Replies
10K Views
Jaman naombeni msaada nasumbuliwa na tumbo yani linanyonga km dk 5 afu linaacha nikikaa kidogo linaanza tena yani hii ni wiki ya 3 tumbo linafanya ivo msaada pls
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wakuu.. Nafanya kazi pharmacy nimekuwa nikipokea malalamishi kwa watu wengi . Wanasema mafua yakimpata mzungu ni rahisi sana kumuua kuliko Mwafrika .. wakuu je kuna ukweli wowote na...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Habari za asubuhi wapendwa, Nimeamka nikiwa na maumivu makali sana kwenye sikio la upande wa kushoto,nimejaribu kutoa uchafu lakini maumivu bado yanaendelea,kabla sijaenda kwenye kituo cha huduma...
0 Reactions
5 Replies
936 Views
Kuna nini kibaya kwenye chai na kahawa? Kafenia ni nini? 1.Kafenia ni madawa ya kulevya undi la ‘stimulants drugs’. Utashangaa habaru ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai...
3 Reactions
14 Replies
12K Views
Mimi ni mjamzito wa miezi tisa(9) ,ni mgeni hapa ,tatizo linalonisumbua ni kuhusu ulimi ,yani napata shida umetokea na kama fangasi ,kooni nasikia ukavu. Mwanzoni kabla sijajiunga nilikuwa...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Back
Top Bottom