Saudi medical staff leave the emergency department at a hospital in the center of the Saudi capital Riyadh on April 8, 2014. A jealous father shot a male doctor at the King Fahad Medical City in...
Habari za humu wana jamvi, mimi ni mzazi wa watoto sita waliozaliwa mara tatu, yaani pacha tatu.
Kuepuka kuleta ya nne niliweka kitanzi, kwa muda sasa nimekua nasikia maumivu makali, ikabidi...
Mwanamke aliyezaa kwa operesheni katika mzao wake wa kwanza, hawezi tena kujifungua kwa njia ya kawaida?
Na nini kinapelekea wanawake wengi zama zetu hizi kujifungua kwa operesheni?
Mtoto amepewa dawa pungufu tofauti na ushauri wa doctor,aliandikiwa kutumia dawa 5ml ila nilipoenda kununua dawa pharmacy wakaandika apewe 2.5ml so wife akawa anampa kulingana na maelezo ya...
Habari zenu wadau mke wangu alikuwa anasumbuliwa na tumbo na pia mikono kufa ganzi tumeenda hospital kufanya vipimo tulivyoandikiwa na dokta akabainika kuwa ana typhod ndipo dokta akatuandikia...
Kwa ufupi
TFDA walisema kutokana na kuongezwa ladha, sukari hiyo haifai kwa matumizi ya wagonjwa wa kisukari, wajawazito na watoto.
By Mwandishi Wetu, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz...
Mkomamanga (Punica granatum)ni mmea ambao asili yake ni katika nchi za Mashariki ya Kati (Middle East) na umetajwa sana katika vitabu vya kale vya historia ya eneo hilo. Kwa mujibu wa kamusi ya...
Wasalaam wakuu, tafadhali naomba kufahamu kutoka kwa wataalam kama kweli ni sahihi au si sahihi kwa mtu mwenye uzito ulizidi na mwenye uhitaji wa kupungua uzito kama itakuwa sahihi kwake kutumia...
habar zenu ndg: kuna dada wa rafiki yangu ana mtoto amempata tangu mwezi wa 6 lakini mpaka leo mtoto huyo bado ni mchanga sana kama kazaliwa siku 5 zilizo pita amekuwa anasumbuka sana amejaribu...
Nikiwa kwenye biashara zangu kuna binti mmoja alikuwa ananiletea chakula kutoka mgahawa flani anaofanya kazi kila mara katika majadiliano ya hapa na pale na wafanyakazi wangu wakawa wanasisitiza...
Habari zenu wana jamii forum!
Kuna suala moja mie linanikera sana ambalo nimeona kupitia jamii forum wenda ikafikia wahusika na maisha yakawa yenye furaha.
Suala lenyewe ni hili la uvutaji wa...
Nataka kujua namna ya kupunguza size ya uume
wangu maana umekua ni shiida kwa mke wangu mtarajiwa maana tukifanya sex anasema namuumiza sana wala hafurahii ??
Najihisi kama uume wangu ni mdogo kiasi kwamba kila mwanamke ninayekutana naye inaonekana kama haridhiki na size ya mboo yangu, kimsingi naboeka sana kiasi kwamba naona nitafute njia ya kuongeza...
MATUMIZI 5 YA COKE YANAYOTHIBITISHA KWAMBA SI SAHIHI
KWA MATUMIZI YA BINADAMU
Coca-Cola ni kinywaji maarufu na kinajulikana sehemu nyingi sana duniani.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya...
Nyakati za leo ambapo uvaaji pichu kwa wanaume na wanawake uko juu sana kuanzia watu tunapokuwa watoto wadogo hali ya Afya ya viungo vya uzazi imeendelea kuwa mbaya sana. Yafuatayo ni baadhi ya...
Kwa takribani miezi miwili sasa nimekuwa nikijihisi tofauti. Mapigo ya moyo wangu yamekuwa yakienda kwa kasi.
Leo nikaamua kwenda hospitali kupima.
MAJIBU:-
* Blood Pressure = 165/110
* Uzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.