MAMBO 8 KUHUSU AFYA AMBAYO UNATAKIWA KUYAFAHAMU SASA
1) Baadhi ya sehemu hapa duniani huwakinga watoto wao dhidi ya magonjwa kwa kuwaogesha kwenye bia
2) kuna zaidi ya kemikali 1000 kwenye...
Epidural anaesthesia ni ganzi unapewa kupitia uti wa mgongo, kuanzia labor hadi utapojifungua. Unakuwa Husikii maumivu ya tumbo wala wakati kusukuma.
Doctors, huduma hii inapatikana huku?
It's now been long time ago conducting conceptual research about relationship between healing and God, I found that somebody whose sickness and dangerous diseases could not be healed if level of...
Mapacha ni viumbe(watoto) wanaozaliwa kwa pamoja, mmoja baada ya mwingine na mama mmoja.
Kuna aina mbalimbali za mapacha, lakini zilizo za msingi ni mbili,ambazo ni;
1.Mapacha...
wakuu nawasalimu,nina sumbuliwa na tatizo la maumivu kwenye korodani zote haswa la kulia na sehemu yote inayozunguka uume baada ya kudo! Nimehudhuria hospital na kupima magonjwa yote ya zinaa nipo...
Huu uvimbe huwa unatokea wakati wa kulala tu, wakati wa kuwa macho uvimbe unapotea unabaki kama uwekundu fulani hivi na uvimbe kwa mbaaaali, na ukiuminya huo uvimbe hakuna maumivu wala hakuna...
Ndugu zangu hivi huu ni ugonjwa gani?
Nina rafiki yangu nilikuwa naishi nae hostel moja chuoni.Rafiki yangu wa karibu haswa.Siku moja akanisimulia tatizo lililokiwa linamsumbua.Aliniambia,"Mara...
Tuma,tafuta,thaminisha,jadili na pendekeza huduma za Afya
Ni mara ngapi umekuwa ukitafuta huduma za afya zilizo karibu nawe bila mafanikio? Timu nzima ya TanzMED inakuletea TanzMED Directory...
Alikuwa na matatizo ya upumuaji mara baada tu ya kuzaliwa. Nimepita kama private hospitals 2 wakadai kwamba alikunywa maji ya uchungu wakati wa kuzaliwa.
Wamejaribu kumtibu wawezavyo but...
Naomba kufahamu chanzo kinachoweza kumsababishia mwanamke hormone zake zisiwe na uwiano sawia, dalili zake, kama husababisha kutopata ujauzito na namna gani zinaweza kurudi kuwa sawia
Habari za kwenu wadau,
Sio mbaya leo nikiwashirikisha madhara yanayotokana na unywaji wa chai na kahawa,
Kuna nini kibaya kwenye CHAI na KAHAWA?:
Kwenye chai na kahawa kuna kitu...
Wadau leo limenikuta jambo ambalo limenifanya nijute kumpa dawa mwanangu.... Mtoto anasumbuliwa na mafua tukampeleka hospital amepewa dawa Kama 3 Coldril, Amoxillin na panadol zote za maji...
Mama anapokuwa mjamzito je, ni miezi ipi huruhusiwi kufanya naye tendo la ndoa ukiacha mwezi wa nane na wa tisa; baada ya kupata ujauzito.
Pia baada ya kujifungua kufanya tendo la ndoa haina...
Mwaka 1995 nikiwa mkoani Kagera tumbo lilianza kujaa gesi na kunguruma sana likiambatana na kuharisha. Niliweza kutumia dawa mbalimbali za hosptali ambazo sizikumbuki kwa vile ni muda murefu...
Sina nia ya kumsema mtu au kuvunjia heshima hapa, ni udadisi mwema kabisa.
Kwa mujibu wa uzoefu wangu na watu kadhaa kuhusu wanawake weupe, hakuna aliyewahi kukutana na mwanamke ambae pia sehemu...
This South American Plant Is a Potential Cure for Cancer And Infertility
Although it has been used in the making of bread and drinks until now, newest research suggests that this exotic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.