Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wana jf naombeni mnisaidie nimekua nikiongezeka uzito kwa kasi sana tofauti na kipindi cha nyuma
0 Reactions
0 Replies
2K Views
How To Make Natural Viagra Using Only 2 Ingredients Jinsi ya kutengeneza Viagra ya kiasilia kutumia viungo viwili tu If you want to make your home made Viagra, you will need the main ingredients...
4 Reactions
114 Replies
29K Views
Jamani huu ujauzito kila nikienda clinik unaonyesha kimo cha mimba na umri wa mimba haviendani. Yani kimo cha mimba ni kidogo mno.je nini vinaweza kuwa vyanzo vya tatizo na nini tiba ya ujauzito...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A), COMPOUND MARROW POWDER : Supplements calcium and magnesium to relive osteoporosis symptoms such as joint pain and lumbago; : strengthens hematopoietic function. : Improves immunity;relieves...
0 Reactions
31 Replies
21K Views
hii ndio kwa nini usichomeke pamba stiki sikioni
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna kijana - wa umri wa A level hivi - ana tatizo la kiafya linalomkera sana na kumfanya hata kusoma darasani imnyanyase sana. Gesi nyingi hutengenezeka tumboni na mbaya zaidi inajitokea...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Ndugu wana JF kuna applicatio nafanya ya masomo sasa kigezo kimoja wapo kuna form ya Foreigner Physical examination form inatakiwa ijazwe. Sasa humo ndani kuna magonjwa mengi inatakikana nipimwe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau..... Naomba kuuliza nini chanzo cha harufu mbaya na zile nywele nyeupe nyeupe kwenye sehemu nyeti? Na je nini tiba ya kiondokana na matatizo yote hayo mawili? Naomna kuwasilisha!
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Katika maisha na kwa ajili ya kuwa na afya njema ni vizuri ukajua kama uzito uliokuwa nao umezidi, umepungua au upo sawa. Hii itasaidia kuepuka na baadhi ya magonjwa au matatizo ambayo huja baada...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nina mpenzi wangu ananipenda sana kwa dhati, pindi tuwapo faragha tukianza tu ugonjwa wake nikuning'ata hakawii kufika kileleni. Ananishangaza jinsi hunibana hadi kukosa pumzi, na nikikaa vibaya...
3 Reactions
3 Replies
7K Views
Naomba kuuliza, hivi ni kweli mawazo yaliyopitiliza kwa mjamzito huweza kupelekea kuharibika na kutoka kwa ujauzito huo?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana jf wenzangu,nina mdogo wangu wa kiume tokea abalehe ana vinyonyo vinavyomfanya aonekane kama mwanamke,sijui kisayansi inaitwaje,nataka kujua,huwa vinachukua muda gani kuisha kabisa au...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba kuuliza mwenye kujua hospital ya jaha ilipo japo nimesikia ni maeneo ya ilala na kufahamu huduma zao zipo vipi na mazingira kwa ujumla please msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf wote Mimi nina mama yangu ambaye ni muathirika wa virusi vya ukimwi kwa kipindi kirefu sasa zaidi ya miaka 10,kipindi cha nyuma kipindi tuko bado wadogo Mimi na dada zangu...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Nimekua nikijiuliza ni kwa nini tiba asili hazina nguvu tena watu walijaribu mayai ya kware lakini hayakusaidia, ulikuja ubuyu, kikombe cha babu, alovera zote hazina nguvu kabisa siku hizi sikui...
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Naomba msaada madokta kuhusiana na tatizo Hili, Nina mpenz kaingia hedhi tareh 8 mwez wa 2, na nikakutana nae tareh 4 mwez wa 3, akawa kabadili mazingira mengine, lkn haingii kwenye siku zake na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Teenager regains sight after transplantation of pig's cornea What would happen if a pig's cornea is transplanted into a human? The very first bioengineering cornea transplantation surgery was...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
wakuu wa Nchi naomba kuuliza hivi hii bidhaa tajwa hapo juu inatibu kisukari type 2? Maana kuna mama mmoja aliniambia ametumia na akapona kabisa .sasa sijawa na uhakika asilimia 100 naomba kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mwenye kujua dawa ya kichwa anisaidie tangu asubuh kinaniuma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imeshawahi kuweka kinyongo moyoni? Kinyongo ni hisia ya kutomfurahia, kumchukia au kutotaka kuhusiana na mtu kwa sababu ya mambo yaliyokuudhi. Kwa ujumla hii ni hisia mbaya sana kwa sababu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…