UMHIMU WA MAZOEZI KWA AFYA BORA
Moja ya mahitaji matano (5) mhimu ili kuishi baada ya oksijeni, maji, chumvi, na potasiamu; ni Mazoezi. Mazoezi ni mhimu kwa ajili ya afya zaidi ya kuwa na...
Wana JF.
Nina ndugu yangu ana miaka 25, anasumbuliwa na tatizo tangu 28.06.2015 mpaka hivi leo yaani anahisi kuna vitu vinamtembea mwilini mpaka wakati mwingine anafikia kujikuna mwili na ni...
Habari,
Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 28 na ni mjamzito. Tatizo linalonikosesha raha ni kuwa nimepitiliza tarehe yangu ya kujifungua na hata zile wiki mbili za nyongeza zimepita...
Habari wadau? Naomba msaada hapa: Nina tatizo kwamba sehemu ya kushoto ya kifua (sehemu ya moyo) Kuna wakati nahisi inakuwa nzito sana halafu wakati mwingine inakuwa kama inawaka moto hivi (...
Wakuuu wa Nchi naomba kujulishwa please kama Kuna mtu ambaye ameshawahi kutumia hizi products za Forever living products .
Kama zinafanya kazi vizuri maana kesho Nina mpango wa kwenda kununua...
Wakuuu wa nchi naomba kuuliza kama kuna maabara au hospital ya kupima hormones za mwilini kama vile LH, FSH, TESTOSTERONE,estrogen .
Kwa mkoa wa Arusha na Kilimanjaro please naombeni kujuzwa ...
Babu alifariki kwa kisukari, hivi sasa Baba mkubwa, baba mzazi, na Mama mzazi yan wote wanakisukari.
Hivi kuna uhusiano gani kati ya group "O" na ugonjwa wakisukari maana hawa ndugu wote...
Ukweli mchungu lakini utasaidia kuokoa maisha ya mtu mmoja au zaidi, hivi unajua kuwa baadhi ya pombe huchanganywa na vilevi vyenye hatari kiafya kwa mfana Methanol, Ethanol au Furfural ambavyo...
Heshima kwenu,
Sijajua kama ni tatizo au vipi, lakini nimegundua nywele zangu za makwapwani hazikui kabisa. Kifupi sijawahi kuzinyoa tangu nibalehe kwa sababu ni vidogovidogo sana ndo...
habari za saa hizi?
naomba kujuzwa madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito anaeinama mara nyingi au kwa muda mrefu hali ya kuwa mimba yake ni kubwa...kuanzia miezi sita na kuendelea...
Ndugu zangu naamini kwa wengi haliharibiki neno.
Nina rafiki yangu alikua akioiga sana punyeto mpaka alipooa ndipo kaacha. Shida inakuja, hawezi kumridhisha mke wake, ndani ya dakika moja...
Kulingana na upungufu mkubwa wa wataalamu wa magonjwa ya mfumo wa fahamu Tanzania, vichanga 1000 kati ya 4000 wanaozalliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu. Ina maanisha vichanga...
Habari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikisumbuliwa na ugonjwa wa kuyumbayumba kama mlevi japo situmie kilevi chochote nikitembea nayumbayumba nakosa balance.
Sijawahi kutumia kilevi chochote hali...
Kwa anayejua dawa au suluhu ya tatizo hili anisadie coz wasichana wananikimbia kwa madai kua nna kibamia kwahyo siwafikish vizuri.Kwa sasa naogopa hata kutongoza natamani niwe napiga pull tu ili...
Salam wana JF.
Mimi ni mhanga wa ugonjwa wa typhoid ambao umeweka makazi mwilini mwangu. Kila nikitumia dawa baada ya muda mfupi unarudia tena.
Nimesoma thread mbalimbali nimeona dawa moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.