Habari wanaa jukwaa,
Tatizo langu nina sauti ndogo yani kama ya kike nini tatizo au jinsi gani ya wezwa kubadilishwa maana mpaka kero sasa, hasa hasa kwa mabinti kunidongoa kuwa nina elements za...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza,
Kiafya mtoto mdogo ambaye hajatimiza mwezi mmoja anatakiwa alazwe staili gani, chali, kifudifudi au ubavu?
Dr. MziziMkavu tafadhali ushauri wako unahitajia hapa
Wana JF ni vizuri kujua hili please,
Subject: FW: BREAST CANCER-NEW INFO(bottle)
U R G E N T
WARN ALL WOMEN....
Bottled water in your car.....very dangerous!!!!
This is how Sheryl Crow got...
Naomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni...
Dada mmoja kaniomba niulize kwamba katumia dawa za misoprostol tatu akameza na moja akaweka uken ili kutoa mimba lakini baadaye akatapika je dawa itafanya kazi? Na kama haitafanya arudie zoezi la...
Habarini wandugu,
Nimejitokeza kwenu kuwaletea habari njema juu ya ya ugonjwa wa mifupa hasa kwenye joint.Ambapo mgonjwa hushambuliwa na maumivu makali sana na wakati mwingine hutengeneza usaha...
Msaada wanaJF,
Nasikia unga wa habbat sawda (Habat Soda) unatibu magonjwa mengi sana, kwa anayejua naomba anisaidie ili niweze kuupata, pia mafuta yake!
Heshima kwenu wana JF,
Mimi ninashida moja ya kuwa nikinywa maji mengi sana maana inaweza kufika saa 4asubuhi nimeshakunywa kama maji lta 4.
Ila nikikaa baada ya muda kichwa kinaanza kuniuma...
Kabla hutujafika mbali kama wewe hauna ndoa basi ishia hapa hapa. Elimu iliyopo ni kwa ajili ya walio ndoani tu. Wewe kijana nenda kacheza kiduku kwanza.
Kuna mambo mawili: Kwanza Upungufu wa...
Hello mwanajamii.
Napenda kukushirikisha huduma nzuri yenye uwezo wa kumsaidia mtu ambaye anapambana na kisukari aina ya pili. Karibu upitie haya maelezo nliyoandaa kwa ajili ya jamii kwa ujumla...
Habari zenu wakuu...
Kuna habari nimekutana nayo jana mtaani naomba kushare na wanajamvi...
Nimemsikia mama mmoja akimtahadharisha binti yake kuhusu mchumba wake. Inasemekana...
Nimekua na uzoefu kwa free days ambazo mwanamke hawezi pata mimba siku 28.
Lakini jamaa yangu mke wake anaenda siku 35 mpaka 37.
Siku free ni zipi hapo manake jamaa anamwaga nje tu?
Wadau,
Elimu ya uzazi wa mpango bado haijamfikia kila mtu, kuna jitihada za makusudi zinazofanyika na watu binafsi, mashirika pamoja na serikali ili kuendelea kueneza elimu hii.
WLF kupitia...
Wadau,
Nimeambiwa kuwa mafuta ya mkia wa kondoo ikichanganywa na asali ni dawa nzuri ya kifua na mafua hasa kwa watoto wachanga.Ninatafuta sana mafuta ya mkia wa kondoo naombeni mwongozo...