Kwenu madaktari wa JF, nina swali eti kuna Asthma ya ngozi?
Mtoto wangu anatatizo la kutoka rashes/vipele mwilini na vikimtoka vinamuwasha sana, nilimpeleka hospital tofauti tofauti akawa...
Nataka kuacha homosexually mimi ni gay, japo sijulikani naomba dawa ya kuacha kimya kimya kama nilivyokua sijulikani. Nilipotimia teenage nilianza kuwashwa automatically bila influence ya mtu au...
Utafiti mpya umeonyesha kuwa vyakula vyenye cholesterol au lehemu mfano mayai na siagi sio tishio kwa afya kama ilivyojulikana awali. Watafiti wamegundua hakuna uhusiano wa mafuta kuongezeka...
Ninashangaa mpaka karne hii ya 21,sisi wanaume wa kitanzania bado tunahusudu VITAMBI.
Kwa wenzetu wa maghaharibi,ni laziness na wanaamini kwamba kitambi ni dalili ya magonjwa kama kisukari,blood...
sitamani tendo la ndoa,sitaki hata kumuona mume wangu tena natamani kusafili niende mbali kusikojulikana ,ninaujauzito wa miezi 2,je ninamatatizo yoyote ya kiafya?
habari wana jf naomba ushauri mwanangu wa kiume umri mwaka mmoja anatapika akila uji au chakula kingine akinyonya hatapiki tatizo nini wenye uzoefu tafadhali hospital nilimpeleka wamenopa dawa ya...
Naombeni ushauri kwa anae fahamu dawa ya kumfanya mtoto apate hamu ya kula. Mimi nina mtoto anaelekea miezi 9 sasa lakini kadri umri unavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupunguza hamu ya kula chakula...
Wasalaam wakuu,
Naomba kujuzwa kama kuna athari zozote za kiafya mtoto anaweza kupata endapo wazazi wake wakafanya mapenzi wakati yeye bado ananyonya. Huku Umakondeni kwetu wanadai kuwa ukifanya...
Ndugu habari,
Kuna huu mtindo wa manesi kupiga makofi wajawazito wakiwa labour (usikatae hili jambo lipo) hasa kwa baadhi ya wanawake wanaochelewa kusukuma mtoto.
Je, kuna faida gani...
Nimekuwa nikitokwa na chunusi kwa wingi usoni pindi ninapotumia matunda kama vile parachichi, fenesi, n.k mara kwa mara. Hivyo naomba ushauri wenu wadau
Wadau heshima kwenu,
Wakuu nimejikuta kila asubuhi napata uchovu na usingizi mzito ingawa nawahi kulala kama saa moja usiku. Pia kichwa kinauma sana, najihisi kubanwa mafua.
Note: sifanyi kazi...
Habar wanaJF
Natumain mu wazima wa afya njema
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, tatizo langu kubwa ni kutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo pasipo kujali mazingira na sasa...
Habarini wakuu,
mwanzo kabla ya 2013 nilikuwa na mwili wa kawaida badae nikaugua karibia miaka miwili sasa nipo kwenye recovery lakini mwili wangu bado umekondeana nashindwa kuelewa ni vyakula...
ZINGATIA HAYA KATIKA MAISHA YAKO YA KILA SIKU ILI UWE MZIMA KIAFYA NA MAISHA MAREFU.
1 Usile chakula bila ratiba
2 usinywe maji baada tu ya kula(kunywa maji nusu saa kabla na baada ya kula)
3...
Salama wapendwa.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Leo mida ya saa 7 mchana hivi nilikuwa na mihadi ya kuonana na demu fulani hivi geto.Demu kaja geto ili tufanye yetu kule kutaka tu kuomba...
Habari wakuu nimekua na tatizo la kutoka machozi mara nyingi ninapotumia kifaa kama simu au computer gizani nikiacha tu ndo napata tatizo hilo ila nikisema niendelee tatizo la kutoa machoz linakata