Eti ovulation kwa mwanamke huwa inachukua muda wa siku ngapi? Na ukitaka kupata mtoto jinsia unayoitaka either msichana ulale nae siku gani na mvulana ulale nae siku gani? Na je ukilala nae pale...
kuna jamaa yangu yeye baada ya kila kumaliza kuoga na akisha jifuta maji tu au akikauka lazima mwili uanze kuwasha atajikuna kama dakika 20 hivi,tatizo hili linadawa?
Habar zenu wapendwa, naumwa na kichwa sana kwa kipindi kirefu sana nimetumia dawa za kila aina kuzuia maumivu ya kichwa lakin haijasaidia. Kwa mwenye ushauri ama dawa anisaidie tafadhal.
wakuu
Ndugu yangu ana tatizo la moyo kuwa mkubwa.na.iyo imesababishwa na Presure na.Sukari...
Nimeelekezwa suppliments.aina ya.Cardial Power naomba.mwenye connection nazo...
Natumai ni wazima wadau
Mada yangu inaomba nielekezwe juu ya dalii za ujauzito zinaanza kujionyesha baada ya siku au wiki ngapi baada ya tendo la ndoa???
Naobeni msaada wenu
Nina mpenzi wangu tuna kama miaka 4 kwenye uhusiano wetu kwa miaka 3 tumekua tukitumia condom ila huu mwaka wa 4 yametushinda siku moja nikiwa na condom ili bust basi tukaenda kavukavu.
Baada ya...
Wadau nawatakia weekend njema.
Nahitaji nini ili kuanzisha zahanati chini ya NGOs. Suala si mtaji bali masharti gani laima yatimizwe ili kuanzisha huduma hiyo.
Asanteni
Health Benefits of Cabbage
Because of its leafy appearance, cabbage is often thought to belong to the lettuce family; however, cabbage is considered a cruciferous vegetable. Cabbage can vary...
Habari, Ni kwenye magroup ya whats app kuna mtalaamu mmoja alisema hivi," kwenye cell kuna vipokezi vya kupokelea virusi vya ukimwi, sasa kuna watu hawana hawa hawawezi kupata ukimwi. Walivyo na...
Nimekuwa nikinywa kijiko kimoja cha chai cha mafuta ya mzeituni (olive oil) kila siku niamkapo kabla ya kula kitu chochote. na nimeona mafanikio makubwa sana kwa afya yangu.
Je kuna madhara...
Habari wana jf,
nina mtoto mchanga nilikuwa namnyonyesha tu, sasa ni miezi mitano na nimeanza kazi nahisi maziwa yangu pekeyake hayamtoshi hashibi. nilianza kumpa maziwa ya SMA ila anaharisha...
ndugu marafiki na jamaa mbali mbali mwaka jana mwez wa 9 nilipata ajal ya gar mkoan morogoro. na nikavunjika uti wa mgongo
niliangaika sehem mbali mbali kupata matibabu. ikiwemo pale kcmc moshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.