Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

MSAADA MADAKTARI JAMANI,Nimewahi kuota ndevu sasa nilizoea nazikwangua zote kwenye mashavu zimejenga weusi kwenye shingo na mashavu kias kwamba naonekana mtu mzma sana wakat nina miaka 25 sasa...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Vuta pumzi alafu fikiria, kichwa cha mtu mmoja mzima aliyehai mwenye tatizo na mwili wake wa chini kwa sababu mbalimbali iwe ni ugonjwa kama kansa au ulemavu wa kupooza kikatwe na kuhamishiwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeota Nywele Kuanzia Sehem Za Sili Mpaka Kifuani Yaani Tumbo Ndio Usiseme Kabisaa! Ninatamani Sana Kuzinyoa Lakn Naogopa Kwan Nikizinyoa Naweza Pata Madhara Gani Kiafya? Umri Wangu Ni Miaka 20...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu, Kila jambo linanitatiza kidogo kuhusu hii kitu Masturbation/Punyeto inaathiri au inachangia vipi uume kuwa mdogo au kibamia! Naomba kujuzwa juu ya hili jambo. Karibu
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Ni wiki sasa tangu nijaliwe mtoto wa kwanza, toka alipozaliwa daktari akaniambia mama alimminya mtoto wakati akimpush hadi kupelekea kichwa kubonyea upande mmoja wa kushoto juu ya sikio upande wa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
First of All niwape pongezi za haja kwakulinda maisha yenu kwa kuvaa kondom kila mnapo fanya mapenzi, afya ni utajiri Ishu yangu kwa wadau wa salama (3BOMBA,HALISI) wale wa DUME na zile za...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Licha ya kutokuwa na utamaduni wa kuangalia afya zetu mara kwa mara, kwa kuangalia ngozi za watanzania walio wengi unaweza kuthibitisha kuwa watanzania wengi wagonjwa(wengi wao wakiwa wanawake)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
While testing a recently developed molecule, JP-III-48,-on samples from HIV-positive patients, researchers at the University of Montreal in Canada observed something groundbreaking. The molecule...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni katika hatua za kujifungua. Mke wangu ilibidi ajifungue kwa forced labor. Baada ya kuzaliwa, mwanangu anapumua kwa kukoroma na kwikwi, nimeambiwa tatizo ni hayo maji ya uchungu aliyokunywa...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
naomba msaada wa tiba ya ugonjwa wa ngozi uitwao utangotango
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Ndugu wataalam naomba kujua sababu, tiba, na madhara kwa baadhi ya watu miili yao kupata ubaridi usio wa kawaida wanapokua sehem yenye barid, unasalmiana na mtu mikono ya baridi mbaya.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Badonnasugua kichwa inawezekanaje box/packet likawa na ujazo wa mapera/maembe/mchanganyiko na ladha ile ile halafu liuzwe kwa shilingi mia tano au elfu mbili ili hali kukamua juice yenyewe...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
habari ndugu zangu wa jf mimi ni kijana nasumbuliwa na miguu yapata miaka 5 kila nikifanya mazoezi ya mpira tu miguu inauma kweli ila nikiachana na mazoezi sisikii miguu ikiniuma jana nimecheza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu. Naombeni kufahamishwa chanzo halisi na tiba ya tatizo la kuota vinyama sehemu ya haja kubwa, Tatizo hili huambatana na maumivu yanayovuta na kuachia kama vile una kidonda au...
0 Reactions
8 Replies
22K Views
Why Most of Men Encounter Wet Dreams
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I am seeking help with medical terminology from english to swahili. examples: 1. Hemorhoid 2. Hiatal hernia 3.Colonoscopy 4. Colorectal Cancer 5. Colostomy 6.Barium enema 7.Sigmoidoscopy 8...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Really? How did they come into this conclusion? Hili tangazo bila shaka huwa mnaliona kwenye TV zetu.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa wenye matatizo ya kisukari, pressure, upungufu wa cd4 mwilini, nguvu za kiume, chango, miguu kuvimba na kupasua, uchovu wa mara kwa mara na maradhi mengne. Njoo upate tiba kutokana na dawa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nasikia nabanwa na kitu kama vichomi tumboni kwa chini hasa upande wa nyonga /diaphram baadhi ya watu wameniambia ni baridi ninywe maji au chai ya moto nimefanya hivyo lkn bado hii mi siku ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina tatizola kuvimba tezi za mate, submandibular gland kwa miaka mingi. Mwanzoni daktari alihisi ni sababu ya stones kwamba zinajijenga kwenye tezi na kuzuia mate kutoka. CT-scan ikatumika na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom