Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Magonjwa ya Akili ni Nini na husababishwa na Nini? • Magonjwa ya akili ni matatizo ya ubongo ambayo humfanya mtu kuwa na hisia, fikira na matendo tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii na...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wapendwa? Naombeni msaada nitumie dawa gani ili niache kublid maana toka nichome sindano nablid tu, nikipumzika ni siku 2 nablid tena yani bila mpangilio Naweza nikawa nimetoka zangu sina...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana JF: Majuzi niliuliza swali hapa kutaka kujua Ni vyakula gani vinasaidia mtu kufanya mapenzi kwa muda mrefu bila kukojoa na vyakula gani vinaongeza stamina wakati wa kufanya tendo la ndoa...
3 Reactions
59 Replies
50K Views
Amlodipine na nifedipine ni dawa za kawaida kwa watu wenye matatizo ya presha hapa nchini. Moja ya madhara muhimu ya dawa hizi ni kuvimba kwa miguu juu ya kifundo cha mguu (ankle edema)...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula. Ila mimi nazipinga. Mfano: Majani ya maboga Kisamvu Mchunga Majani ya kunde Matembele Mlenda Mengine...
17 Reactions
177 Replies
4K Views
Aliyepandikizwa figo ya nguruwe aruhusiwa Taarifa ya hospitali imesema mtu huyo alikuwa akipambana na ugonjwa wa figo na alihitaji kupandikizwa kiungo hicho, ili kuokoa maisha yake...
10 Reactions
167 Replies
5K Views
Nina tatizo la harufu kali ya kikwapa kiasi cha kunikosesha amani na kutokujiamini mbele za watu. Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa...
4 Reactions
82 Replies
4K Views
Mwanamke wa kwanza aliniambia nikaona kama ananitania ila wa pili sasa ananiambia hivyo hivyo nataka nikapime nijue Nina nini sasa nashindwa kujua namwambia nini doctor nijue tatizo langu
0 Reactions
38 Replies
1K Views
Captopril na enalapril ni dawa muhimu kwa watu wenye matatizo ya presha na kisukari. Maudhi ya dawa hizi ni pamoja na kikohozi kikavu, ambapo mgonjwa huanza kukohoa kikohozi kisichopona au...
2 Reactions
2 Replies
469 Views
Captopril na enalapril ni dawa muhimu kwa watu wenye matatizo ya presha na kisukari. Maudhi:- Maudhi ya dawa hizi ni pamoja na kikohozi kikavu, ambapo mgonjwa huanza kukohoa kikohozi kisichopona...
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Hbar wadau, Awali kbsa mwanangu nilikuw nae maeneo ya bard kiasi alpofk miez 6 walihama na mama yao kwenda Zanzibar maisha kule yaliendelea ya kupambana na joto alpo fka miez 8 akaw na tabia ya...
2 Reactions
4 Replies
908 Views
Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Leo katika pitapita zangu Mtandaoni nimekutana na taarifa ya kushtua kidogo kwamba Watu wenye asili ya Afrika (Waafrika Weusi) wanakuwa hatarini zaidi kupata Magonjwa ya Moyo ikiwemo Shinikizo la...
0 Reactions
10 Replies
540 Views
Historia ya kina na uchunguzi kamili unapaswa kufanywa ili kubaini sababu inayowezekana zaidi na njia ya utatuzi. Ikiwa kuna upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo hali inayopelekea kuzuia...
1 Reactions
3 Replies
598 Views
Jamanii, mwenzenu nina naelekea kumaliza mwaka sasa nasumbuliwa na Mafua MAZITO hadi yanaziba pua! Hospital naambiwa ni Allergy nijaribu kugundua kinachonikataa yaani nimeshindwa kujua kabsaa...
0 Reactions
7 Replies
735 Views
Wakuu za wakati huu, Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimekuwa mtumiaji wa pedi hizi aina ya Human Cherish maarufu kama HQ nilitokea kuzipenda kutokana na hali yake ya ubaridi kama Air Conditioner na harufu yake nzuri ya aerobic tea. Lakini...
6 Reactions
246 Replies
45K Views
Habari ndugu zangu wiki kama moja iliyopita mwanangu alilazwa na akachomwa sindano nyingi sana mikononi ni mtoto wa miezi 11. Sindano zile zilimpelekea kuvimba mkono kwa juu nilivyowauliza...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Usonji ni changamoto ya Ukuaji ambayo hutokea pale ambapo Ubongo hufanya kazi kwa namna tofauti. Mtoto hupata changamoto hii anapokuwa tumboni na dalili huonekana kuanzia Umri wa Miaka Mitatu na...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Back
Top Bottom