Dr. Simoncini discovered that the cause of this terrible illness is a fungus and tried hard to persuade scientists how wrong are the actual theories on cancer. His therapy based on the strongest...
jaman natumain mu wazima.
mi ni bint ,nna tatizo la kupungua damu tangu mwez wa kwanza.nikitumia vyakula au dawa inapanda hata had 13,lakn nikiacha baada ya wiki kama tatu naikuta 9,,.nimepima...
Habar,poleni na majukumu ya kulijenga taifa kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu naomben msaada kwenu wana jf wenzangu niweze kuujua mzunguko wangu mwez wa pili niliingia date 4/2/2015 na...
How CANNABIS can help cancer patients: Drug kills cancer cells and shrinks brain tumours, report reveals
National Institute on Drug Abuse admits cannabis has medicinal benefits
US guidance states...
Habari wakuu?
Nimeamua kuomba msaada wakuu, Betri yangu imebakia jiwe moja. Naomba msaada please wa dawa ya kucharge bettry yangu mpaka najickia vibaya sana.
Hivi kuna dawa yoyote ya asilia...
Msaada naomba kujuzwa! Chango ni nn, inasababishwa na nn na utajuaje kama una chango nini madhara yake na pia tiba yake. Nasubiri majibu yenu kwa wenye kujua hili tafadhali.
Wependwa watu wa mungu habarini za asbh ,ni yangu matumain kuwa mungu kawaamusha salam cku hii,
Kuna hali imenitokea ndg zangu takrbani mwezi 1 na zaid, nimekuwa nikiwashwa mwili sana hasa...
Wakuu,naomba elimu.Kwa nini ndoto ninazoota haziendelei/hazifiki mwisho wake? Na mara nyingi hubadilika sana (ndani ya ndoto moja[sijui niite usingizi mmoja? yaani kusinzi mara ya kwanza kabla ya...
Jamani madokta hebu mnipe ufafanuzi kuhusu hili tatizo:
Nimelala salama, usiku nikaamshwa na maumivu ya jicho kama vile limeingiliwa punje au mchanga, kujitazama limejaa tongotongo kuliko...
habari wanajf wenzangu ama baada ya salamu naomba munielimishe au munijuze mwanangu ana miezi mitano na nusu ameanguka bahati mbaya kutoka juu ya meza mpaka chini hana alama yoyote lkn ana...
Huko ugaibuni bange ina uzwa kama njugu na tena inatumika kutibu maradhi mbalimbali. Lakini sigara kwa upande mwingine ndio inaongoza kwa kusababisha vifo vya cancer. Je Bange ni salama zaidi kwa...
Polen na majukumu wadau,mwenzenu ninapatwa na maumivu makal wakati wa kwenda haja kubwa,haja inatoka ngumu yenye makamasi mengi na humegukameguka na mara chache huchanganyana na damu kwa mbaali na...
Naomba msaada nina mtoto wa miezi mitatu na wiki moja huwa ana tokwa na jasho miguuni na mikononi hata wakati wa baridi ....Naomba kujua kwa wale wataalamu wa magonjwa ya watoto tatizo kuwa ni nn
Habari wadau,naomba ushauri wenu nina ndugu yangu anasumbuluwa na kuvimba miguu kuanzia kwenye macho ya miguu kushuka chini inakuwa kama matende vile,tumepima vipimo vyote majibu hayana ugonjwa na...
mimi ni kijana wa miaka 23,nilizaliwa nikiwa na afya nzuri na sikuwa nasumbuliwa na magonjwa
nilipoingia shule ya sekondari nilisumbuliwa na vidonda vya tumbo kuanzia 2006 mpaka 2010 ambapo...
Matunda na mchanganyiko wa mboga ya umbi jani ni moja ya maajabu makubwa yafanyayo kazi ndani ya mwili wa mwanadamu ya Kurudisha (boady renew), kujenga mpya (boady restore) na Kuhuisha (boady...
Wasalaam ndugu wapendwa!
Kwa ndugu wakristo bila shaka mko katika pilika pilika za sikukuu ya Pasaka! Bila story ndefu leo napenda niseme kidogo kuhusu ugonjwa wa PUMU (Asthma) na tiba ya...
Naomba kufahamu juu ya hili ili na watu wengine wajue pia kwa anayefahamu kama kuosha kwenye uke kwa kutumia sabuni kuna madhara? Je kusipooshwa kwa sabuni vp kuhusu harufu hasa kama ametoka...
Mama yangu anaumwa sana miguu na kiuno anapata maumivu makali sana. Alipimwa KCMC akaambiwa mifupa kwenye uti wa mgongo imelika ndiyo maana anapatwa na maumivu ya viungo na hakuna dawa ya kutibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.