Hili tatizo sijui ni langu tu ama tuko wengi. Nikilala chali ama kwa ubavu wa kushoto naota sana ndoto mbaya, nakabwa ama nalimishwa hata nisali kabla ya kulala ama niweke biblia kama hirizi chini...
'Ranjan Das, CEO and MD of SAP-Indian subcontinent died after a massive cardiac arrest in Mumbai recently. One of the youngest CEOs, he was only 42.'
What killed Ranjan Das?
He was very active...
Habarini ,naomben ushauri mwanangu tangu amezaliwa ana wiki mbili .alikuwa analala vizur na kunyonya vizur..sasa kuanzia jana ameanza kulala saaana zaid ya masaa matano na kuamka ukimnyonyesha...
Nina maelezo yakina juu ya kutengeneza juisi ya tangawizi itakayokufanya uchelewe kufika kileleni kwa zaidi ya dk 20 mpaka 30 na uwezo wa kurudia round nyingi zaidi
napatikana hapa 0712505049...
Uvimbe wa kizazi kwa wanawake huwafanya wahanga kulalamika wanatumia gharama nyingi katika matibabu bila kupona. Dalili huendelea, wakati mwingine hali hubadilika na kuwa mbaya zaidi.
Yafuatayo...
Wakuu naomba msaada wenu,mke wangu kajifungua Jana kwa op tatizo ni kuwa tangu SAA 11 alipojifungua mpaka sasa mtoto hajanyonya mama anasema maziwa hamna.
Nisaidieni tafadhari ndugu zangu...
Naomba nisiwachoshe.
Kumekuwa na habari, maneno au fununu kwamba Mwanaume mwenye uume mkubwa unaweza ukasababisha asinenepe(umamnyonya mwili).
Je hiikitu inaukweli?
Nihayo tu, nawakaribisha...
Habari zenu wadau,
shemeji/wifi yenu anashindwa kupata ujauzito sababu ya hilo lidude kwa maelezo yake, yaan analalamika kuwa humchoma sana na kuunguruma siku ya 1 akiingia period na siku ya...
Tafadhali naomba mnisaidie mke wangu anapata shida. Mke wangu mimba iliharibika mwaka jana, damu nyingi ilimtoka. Baadae alianza kuumwa tumbo chini ya kitovu, Nyonga na Mgongo. Alipofanya...
Utangulizi :
Kumkaribisha mtoto mchanga duniani huwajambo la furaha kwa familia. Lakini nchini Tanzania akina mama wengi wanaendelea kupoteza maisha yao wakati wa kujifungua. Vilevile watoto...
helo wadau nimepata janga la kuumwa na mbwa wa jirani, nimemuuliza jirani kama mbwa wake ilichomwa sindano, ya kinga, nimeambiwa alishachomwa. sasa wataalamu ningependa kujua kama kuna haja ya...
Anaitwa charles ana miaka 26 ni mwanafunzi wa ngazi ya stashahada na yuko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha SAUT mwanza.
Tatizo lake ni kuwa na waswas na afya yake mana kafanya mchezo kuzama...
Naomben kujuzwa n nn knasababsha mimba kuwa kubwa haraka au kuonekana mapema tofauti na umbile la mtu, namaanisha labda kuna vyakula vnasababsha. Naomben msaada wenu
Wana JF naombeni ushauri wenu..Meno yangu yameoza toka nikiwa mdogo sasa nina miaka 21 nachukia sana rangi ya meno yangu kwani sina uhuru ninapokuwa katika maongezi na watu nifanye nini yarudi...
Kuna rafiki angu wa karibu sana amepata tatizo anasema akiamka asbh anakuta kuna kama usaha kwenye kichwa cha uume wake ameenda hospital ameeambiwa mkojo mchafu akachomwa sindano na kuna vidonge...
Wakubwa naomba msaada. Mke wangu uke wake unadischarge maji maji mazito kidogo ambayo hayana harufu.
Ana mimba ya miezi mitatu na nimekuwa kila nikikutana naye kimwili analalamika kuwashwa. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.