Mtoto wangu ana miezi saba lakini kitovu hakijapona.Nilimpeleka hospitali,daktari akaniandikia dawa iitwayo SPAMCLOX na akanieleza nimkande mtoto kwenye kitovu kwa maji ya uvuguvugu yenye...
Wadau nawasalim wote! naombeni msaada kwa watalaam wanaojua kutibu tatizo la kuwa na upele mwingi kichwani. Mdogo wangu ana miaka 5 sasa na tatizo hili, akilala usiku kuna wakati mwingie anakuta...
Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja sasa, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwani mimi nipo Dar na yeye ni...
Wadau Leo nahitaji mnijuze zaidi kwanini hizi sehemu Za unyayoni kiunoni ,makwapani na sehemu zingine huwa na hali ya kujisiskia kusisimka (kutekenywa) Mara mtu anapokugusa taratibu?? Nini...
Je ni kikwazo kwa kushika ujauzito au kawaida tu,
shemeji/wifi yenu ana hiyo hali.
Mf mwezi huu akiingia trh 20,
mwezi ujao atawahi kuingia kwenye trh 17.
Naombeni maelezo khs uhusiano wa trh...
Of recent we have witnessed the launch of yet another energy drink in the beverage market only this time being the product of Forever Living.
For those involved in the international and one of...
Nguo hizi za ndani zinasemekana kuwa na uwezo wa kulinda wanaume kutokana na
madini hatari yanayoathiri nguvu za kiume
Kampuni ya Belly Armor, ambayo ilikua ya kwanza kutengeza bidhaa...
Wakuu habari zenu!
Jamani miye naumwa upande wa kushoto wa moyo; nina maumivu makali. Nimekwenda hospital nyingi sijapata suluhisho; maumivu hutulia kwa muda baada ya tiba na kuanza tena...
Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake.
Nini...
Wakuu nina mtoto wa kiume ana miaka 12 amekua akianguka na kupoteza fahamu mara kwa mara kwa miaka kadhaa sasa. Vipimo (EEG) vimeonyesha bayana kuwa ana kifafa (an active generalizing seizures...
Jaman mi nilikuwa naumwa sana tumbo la Mp. Lakin nilipoanza kutumia pad za HQ maumivu yamepungua. Najiuliza hazina madhara yoyote kiafya kutoka na raw material yaliyotumika kutengenezea...
Heshima kwenu wakuu, natumaini kila mmoja wenu ni mzima!
Kama Title inavyojieleza naomba kufahamu kuhusu hichi kipimo Maana kuna Dr alinishauri kuwa nimpeleke wife baada kufanya vipimo kadhaa...
Baada ya Rais wetu kwenda ng'ambo kuchekiwa afya na kukutwa na tatizo la Tezi dume na akafanyiwa upasuaji.
Taarifa ya habar jana,ambayo ilitolewa na waziri asie na wizara maalum kwamba mwanzoni...
Nakaa na mtoto wa kaka yangu hapa kwangu, ghafla kaniuliza swali, hivi Baba eti kwanini mtoto akizaliwa na miezi Saba anaishi lakini akizaliwa na miezi nane anakufa? Naomba sababu za kisayansi...
Naomba kuuliza kwa yeyote aliyewahi kupata matibabu ya macho katika hospitali mpya ya International eye hospital iliyoko Victoria.gharama za kuonana na daktari .
Wadau mi ni mjasilia mali nahtaji mtaala wa meno kwa mana ya registered dentists.ofisi na eneo lipo tayali mwenye ujuzi na fani hyo naomba anpm, tusisubiri tuajiliwe njooni tujiajili market ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.