Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

New research suggests that breastfeeding can cut cancer rates in the mother by up to one fifth Like so many of the accessories to...
1 Reactions
0 Replies
976 Views
Naumba utatuzi ni siku ya tatu sasa tangu nifanye mapenzi kwa mara ya kwanza yaaan kutolewa bikra ila kuna vitu vya rangi ya damu vinavyoteleza vinatoka ukeni je ni kawaida kwa hii hali au sio...
0 Reactions
77 Replies
10K Views
Drug commonly prescribed for back pain DOESN'T work - and is 'no better than a sugar pill' Drug pregabalin - marketed under the name Lyrica - is prescribed globally While it is not approved to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naombeni wenye ufahamu kuhusu hili anisaidie hata kwa ushauri, nini nifanye? Kuna mgaga wa kienyeji nilienda kumweleza tatizo langu la ukosefu wa nguvu nikwambia wakati nasoma mchezo wa...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
kwanin huwa mnawakataza wagonjwa wasikae wodini na wasaidizi wao kutoka makwao mana wengi hupoteza maisha kwa uzembe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari ndugu zangu naombeni ushauri na kujuzwa tafazali ni takriban mwaka wa pili huu kila nikinywa maji natokwa na jasho sana,mwanzon jasho likikua linatoka kawaida tu lakini saiz naona hali...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu ile dawa yetu ya IGP ambayo imeleta matokeo mazuri imewasili ipo dozi ya kuwatosha watu 100. MATUMIZI. Pima kiasi kidogo tu yaani chini ya robo kwa ncha ya kijiko cha chakula kama...
0 Reactions
5 Replies
21K Views
Askofu mstaafu Desmond Tutu Askofu mkuu mstaafu wa Cape Town,Desmond Tutu,ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya. Taarifa iliyotolewa na taasisi yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka Jana kuna mdada nilimpatia ujauzito, mimba ilikaa miezi kumi na alipojifungua mtoto alitoka kaishafariki na alikuwa na kitovu cha kijani. Ila kabla hajajifungua walipima mapigo ya moyo mtoto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna dawa ya asili inaitwa stameta inayopatikana South Africa, matumizi yake ni kusafisha mwili. Ukiinywa ni chungu kupindukia ila baada ya kunywa unakuwa unaenda chooni mara kwa mara (Usijaribu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waweza kupunguza sukari iliyozidi mwilini kwa bidhaa ya 'blood sugar and lipid-reducing tea. Bidhaa hii sio dawa ni virutubisho kwaio haina adhari zozote mwilini. box moja ni elfu 40...kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana Jf? Naomba msaada wa dawa asilia ya chunusi, Asanteni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jaman salam, Jamani nauliza eti jipu likitoka sehemu za siri za msichana huwa ni tatizo gani au ni dalili ya nini? Tafadhari naomba kujuzwa.
0 Reactions
12 Replies
27K Views
Siyo wote wenye vipara mitaani vinatokana na uasilia. wengine ni kutokana na magonjwa na wengine ni mawazo. KWA UFUPI Wataalamu mbalimbali duniani wamefanya utafiti juu ya sababu, chanzo na tiba...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
hallow wadau naomba kufaham mtoto anatakiwa kunyolewa baada ya mda gani na Kwa kutumia nini? naona ngozi yake laini sana
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hii ni mara kwa mara napata hili tatizo nina muda mrefu sana zaidi ya miaka mitatu kajembe kalishapotea na ndani yake huwaga napata maumivu sana. Sasa saiv imefika sehemu nguvu za kiume...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wataalamu, naomba msaada mtoto wa miaka 6 aling'oa meno ya mbele, yalivyoota tu yakawa na rangi kama ya kahawia, je tiba yake ni nn!? Nawakilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Yani nikimeza tuu dawa hizi lazima nipate kizunguzungu na kichwa kuuma vibaya mno, pia nahisi kichefuchefu mbaya mno, kwa wataalam naombeni kama kuwa mtu anajua mbadala wa dawa hizi jamani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nianze kuwapa pole kwa jukumu kubwa la kutoa elimu na ushauri juu ya afya zetu, ahsanteni sana. Kwa muda mrefu nimeishi bila ukucha wa kidole kikubwa cha mguu wangu baada ya kuathiriwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…