Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Na PHARMACIST SOLOMON MADHARAKWA MWANAMKE Mwanamke hujichua kwa kutumia mikono yake au kifaa chochote atakachoweza kukiingiza ukeni au kujisugulia, ili mradi tu kisimuumize ,na kimsisimue Haya...
3 Reactions
16 Replies
24K Views
Kwema ndugu zangu? Mimi ndugu yenu nina shida ya hasira sana. Na hivi karibuni tatizo langu limezidi. Leo ilitokea nilipata hasira sana baada ya kuudhiwa sana, mpaka nywele zikasimama na macho...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa...
21 Reactions
143 Replies
6K Views
Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita. Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini...
2 Reactions
14 Replies
851 Views
Habari zenu ndugu zangu naomba kujuzwa hospital yenye huduma za kibingwa kwa watoto wadogo kwa mkoa wa mwanza. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Habari zenu Wanajamvi. Wakuu naomba msaada Mwaka 2020 Mwenyezi Mungu alinipa mtoto wangu wa tatu ambaye alikuwa anajicho moja kubwa na lingine lilikuwa la kawaida, mtoto uyu alifariki 2022...
2 Reactions
8 Replies
444 Views
Wadau habari zenu, Naomba kujuzwa chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa mtoto mdogo, nina mtoto ambaye karibia wakati wote ana mafua na wakati mwingine kikohozi tumejaribu dawa nyingi sana za...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Wakuu kwema? Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando? Asanteni
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Alcoholism: • Alcoholism is a psychological condition • Addiction to alcohol can affect one's life negatively • Family support and encouragement is critical to help quit drinking Symptoms to...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini jamani.. Naomba kufahamishwa tube nzuri (dawa ya kupaka) usoni ambayo inaweza kuondoa chunusi au mashimo usoni ambayo yanapelekea kutengeneza utando(ugaliugali) mweupe kwa ndani. Kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu Naomba kufahamu kusafishwa Figo ghrama zipoje kwa sasa hapa hospital ya taifa ?
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanajf, Nimekuja kwenu wanajf ili niwezekupata mbili tatu kuhusu hii milio ya masikio ambayo imenisababisha kutosikua vizuri kabisa tatizo halina muda mrefu sana.
3 Reactions
9 Replies
414 Views
Habari! Leo nimeona niwasaidie kuwatajia dawa ya asili ya Bawasili ya uhakika, nimewahi kuwasaidia wagonjwa wengi tatizo la Bawasili na wakapona. DAWA 1. Mizizi ya mmea unaoitwa 9 disemba...
2 Reactions
5 Replies
871 Views
Wakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya. Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia. Matumizi ya vitu hivyo ni...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Wadau habari za jioni? Kama mada ilivyo hapo juu kuna huo ugonjwa unaitwa Anal fissure siujui jina lake kwa kiswahili, yani unakua kama kunavinyama fulani vinatokea kwenye anus vinatokana na...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
Habari wanajamvi wenzangu. Leo naomba NITOE BURE dawa 2 za Magonjwa sugu ya NGIRI na VITONDA VYA TUMBO kama Zawadi yangu ya CHRISTMAS kwenu. Dawa hizi siuzi bali tumia mazingira unayoishi...
4 Reactions
2 Replies
6K Views
Wakuu habari za jioni!, Naomba niulize chanjo ya homa ya ini inapatikana kwenye hizi hospital kuu za mikoa kwa sisi tuliopo mikoani au hata kwenye hospital za wilaya? Na je vp gharama zake ni bei...
0 Reactions
5 Replies
919 Views
Anonymous
Kuna tabia imeibuka au yawezekana ipo kwa muda mrefu, nasema hivyo kwa kuwa sikuwahi kuelewa kuhusu hilo siku za nyuma lakini baada ya hili nitakalozungumza hapa kutokea nikishuhudia, nimepata...
0 Reactions
4 Replies
567 Views
Habarini ndugu zangu. Katika kuujali mwili wangu nataka nifanye check up ya mwili mzima kuanzia kichwani mpaka miguunii nijue maendeleo na afya ya viungo vyangu vya ndani. Ni hospital gani...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi nikiamka jua likitoka nakua mzima had jion giza likiingia naanza kuumwa mafua usiku mzima kias hadi natumia mdomo kupata pumzi. Hii Hali Ina mwaka huu wa 3 Mchana mzima kabisa, Pia naomba...
0 Reactions
3 Replies
358 Views
Back
Top Bottom