Jf habari za majukumu.
Jaman kuna rafiki yangu amepatwa na tatizo la overbleeding tatizo hilo mpaka kufikia leo ni siku ya 14 amesha muona daktari lakini tatizo bado linaendelea imefikia hatua...
habarini za leo magreat thinker....
huwa wanasemaga no research...no right to speak ingawa haijathibitishwa kwamba sample space au data collection iwe na ukubwa saizi gani...
kupitia...
So, je uko salama, je dawa ya meno unayotumia haina kiambata hiki kinachosababisha cancer. By the way, Colgate walifanya utafiti miaka kumi ku-develop hiyo ingredient, na wakaiingiza kwenye dawa...
Mwili wangu unachoka sana ata nisipofanya kazi yeyote! naweza kaa nyumbani ata siku tatu sifanyi chochote lakini ikifika mda wa kulala kweli unakua kama nilifanya kazi kweli, nachoka sanaa...
Kuna wakati unakuwa una mawazo mengi hata wengine wanadhani kuondoa mawazo hayo ni kutumia pombe au mawada ya kulevya kama bangi, Hiyo sio njia sahihi kwani utaongeza mawazo zaidi baada ya kufanya...
Nataka kujua dalili na jinsi kujikinga na ugonjwa wa Ebola nimeanza kupata hofu baada ya kusikia kasi ya kusambaa Africa Magharibi na kusikia kuwa hakuna tiba wala dawa ya ugonjwa huo
Ndugu zanguni ninatatizo la tremor. na hii ipo sana mikononii na miguuni, nimepewa neurobin naendelea nazo kila siku sina matokeo.
nisaidieni nishaurini
Habari wapendwa. Nimeugua tumbo chini ya kitovu toka mwaka Jana august .kila nikienda hospitali naambiwa uti , nimepimwa magonjwa ya zinaa hayakuonekana, ukimwi hakuna, na kansa ya kizazi hakuna...
Fortunes from foreskin
According to World Health Organisation estimates, 30 per cent of the world males are circumcised 70 per cent of them being Muslim.
After reports released by UNAids and...
Plz jf doctor naomba kujuzwa madhara yatokanayo na ulaji wa wali kwani wengine wanadai unasababisha ugonjwa wa kirukari kutokana na sugar content yake.
Hivi kuna uwezekano wa mwanamke siku zake za hedhi kama inaanza tarehe 28 na mwisho tarehe 2..je kuna uwezekano wa tarehe husika kufika na hedhi isianze mpaka wiki 2 au 3 zaidi..naombeni...
Habari, naombeni kujua ni hospitali gani hapa mjini Dar es salaam naweza kupata vipimo vya hormones, (vipimo hivi TESTOSTERONE, FSH, LH & PROLACTINE) kwa kutumia bima ya afya ya NHIF.
asanteni.
Scientists are just beginning to recognize the amount of "viral chatter" that is occurring worldwide, discovering previously unknown pathogens in humans that sporadically make the jump from...
NIMEITOA
SABABU YA ONGEZEKO LA WATOTO WANAOZALIWA KWA NJIA ZISIZO ZA ASILI « ManyandaHealthy™
Published by SAYI MANYANDA on Tuesday, August 12, 2014 | No comments...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.