Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

habari zenu wadau, nina mtoto wa mwaka mmoja na miezi saba lakini ni mbishi wa kula chochote, ana ratiba ya milo sita kwa siku lakini sijawahi kumuona akila kwa raha ni kilio tu nifanyeje? Uzito...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kuna mzee mmoja ameniuliza swali hili lkn nikamwambia sijui,ila nitakujibu nikashajifunza kwa wataalamu,ndo nikaja humu jf,ishu ni kwamba ana muda wa siku 4 sasa kila akijisaidia haja kubwa...
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Mama yangu mzazi (70) anasumbuliwa sana na maumivu ya mgongo,miguu kuwaka moto na kuvimba ,mkono upande wa kushoto ,pamoja na kusumbuliwa na shinikizo la juu la damu(si muda waote) Jana tumeenda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
muhula wa masomo wa vyuo vya afya unaanza lini?!
0 Reactions
0 Replies
994 Views
wadau, kuna huu ushuhuda wa kweli. mzee Tibwa( c jina lake halisi) yuko kwenye ndoa miaka 27 ana watoto 8, mke wake ni mwathirika wa ukimwi lakini mzee Tibwa hana ugonjwa wowote aidha alidai...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari za leo ndugu zangu, mimi nina mtu wangu ansumbuliwa na kichomi asa sehemu za mbavuni je kuna mtu yeyote anayejua tiba mbadala??.... Assnten, mungu awabariki
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar ndg zangu ....naombeni Msaada kwa anae jua tiba kwa tatizo ninalo pata,,, mm kila nikimaliza kufanya tendo la ndoa na mume wangu tumbo huwa linaniuma kwa muda Kama Dk 10 au robo saa ivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Poleni na majukumu wakuu. Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii nimeikuta kwenye website fulani ila nimeshindwa kuweka link yake. Hii imesemwa baada ya madaktari zanzibar kufanya utafiti na kuona madhara ya tiba hizo za asili. Ili kupata taarifa kamili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nakumbuka nilipokuwa nasoma somo la lugha ya Kiswahili kulikuwa na misemo (hapa namaanisha nahau, methali, vitendawili na misemo yenyewe) mingi sana inayoambatana kwenye ufundisha wa lugha hii...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
habari zenu wanajamvi mkee wangu anahisi kama kuna vitu vinatembea kutoka chini ukeni kuelekea tumboni hii inaweza kuwa ni nin? hebu toeni utalaam wenu kidgo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello JF Dr, Siku5 zilizopita nilipatwa na jambo linalo nikosesha raha mpaka sasa jaman, ni baada ya kupata choo kilicho ambatana na damu nilishitushwa sana kwa hali ile ila nikajaribu kuuliza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf habari za jumapili? Kwanza kabisa naanza kwa kutoa pongezi kwa Jamiiforum Doctors kwa kazi nzuri za ushauri na msaada wa kitalaam mnaoutoa kwenye hili jukwaa. Mimi nina sumbuliwa na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nimepatwa na vipere(sundosundo) katika sehemu za siri kwenye ringi ya uume.Ni miaka 4 sasa nimetumia baadhi ya dawa za kuchua sioni mafanikio ya vipere hivyo kutoweka.Nifanye je?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Haya yalinitokea leo, kuna ndugu yangu nimekuwa nikiishi naye kwa muda mrefu, ila mwezi huu wa saba sikuweza kumuona, ghafla leo nikakutana nae, akawa wa kwanza kutaja jina langu, katika...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Matumizi ya cha chuchu bandia zenye jina maarufu la ‘soother' yanaonekana yakishika kasi katika miaka ya karibuni kutoka katika fikra kwamba ni ya familia tajiri hadi kwa jamii ya kipato cha...
4 Reactions
16 Replies
14K Views
WHY TRE.EN.EN?! ******************* *Binadamu anahitaji kula kiwango kikubwa cha nafaka kamili, mazoez, matunda na mboga mboga, protein kidogo na sukari na mafuta viwe finyu kabisa lakini hali...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Habari wqpendwa???!mimi natamani kupungua tumbo naomba msaada wa mawazo ni kwa jinsi gani naweza kupungua ndani ya wiki 1 au 2.!!!!plz help me.!
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mfanyakazi mwenzangu amenitaka nimsaidie tatizo lake lakini nimeshindwa, nikaona bora nije hapa jamvini nikiamini nitapata chochote cha kumsaidia. Anapofanya tendo la ndoa huwa anapiga bao...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Tohara kwa jinsia ya kiume ina faida zifuatazo kiafya Inarahisisha kusafisha uume Inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya njia ya Mkojo (U.T.I) Inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom