Hawa neemaherbalist (neemaherbalist.blogspot.com) kwa muda sasa wamekuwa wakijitangaza kutibu magonjwa mbali mbali ( kama Upungufu wa Nguvu za Kiume, vidonda vya tumbo, kisukari, malaria n.k) kwa...
Habarini za asubuhi wana jf,
Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi mitano sasa na mke wangu mjamzito...
The next time someone at your office lets out a "silent but deadly" emission, maybe you should thank them. A new study at the University of Exeter suggests that exposure to hydrogen sulfide ...
Men who keep a mobile phone in their trouser pocket could be inadvertently damaging their chances of becoming a father, according to a new study led by the University of Exeter.
Previous...
Habari zenu wadau, naishi na mwanamke ambae nimezaa nae mtoto mmoja, sasa anamiaka miwili, tatizo la huyu mzazi mwenzangu anahasira sana kiasi cha kushindwa kuzicontrol.
Kuna wakati aligombana na...
Samahani kama unajua tiba mbadala za ili tatizo,au kama una mawasiliano ya daktari mmoja hivi alirusha kipindi ITV akionyesha dawa hiyo inayotengenezwa na mbegu za maboga na asali nipatie...
Wana Jf,ushauri wenu wadau. binafsi shughuli zetu wengine zinahusiana na kushika pesa muda waote huku uraiani. hakuna vifaa vya kuhesabia pesa. na muda mwingi tukiwa tunahesabu pesa za noti huwa...
Wataalamu wa Afya nisaidieni juu ya hili. mimi nina mwaka (1) . tangu niwe na tatizo la kukosa hamu ya chakula, kuhisi kichefuchefu, naombeni mchango wenu hata ushauri wenu nikwanamna gani...
heshima yenu wadau! naomba msaada mtoto wangu nimemwona sehemu fulan ya kichwa chake nywele zimetoka km upara hv... naomba mnisaidie tiba asil kwa anayejua kuhusu huo ugonjwa na unasababishwa na nn?
Habari za jumapili wanajamvi,
Naomba niende mojakwa moja kwenye mada. Nina rafiki yangu alipoanza kuingia period akiwa kidato cha 2 alikuwa anaingia siku 4 hadi 5 but sasa hivi yupo kidato cha...
Bikira ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi (penetrative sex) na si lazima awe mwanamke ambaye atatoa damu siku ya kwanza ya tendo la ndoa.
Ni vizuri kufahamu kwamba asilimia...
Natanguliza shukrani kwa msaada na hata ushauri kutoka kwako. Ni hivi: mke wangu ni mjamzito karibu miezi nane sasa. Kinachomtatiza sana ni kupatwa na ganzi ya mara kwa mara. Yaani viganja vya...
​
Karibu asilimia 20 hadi 40 ya wagonjwa maumivu hayo huweza kuisha yenyewe, iwapo vipimo havijaonyesha vivimbe au uvimbe kwenye titi basi dawa hutolewa ili kutoa maumivu hayo. Zipo dawa za...
Hii habari niliisikia mara ya kwanza kwenye baa moja Arusha. Wahudumu wa baa walikuwa wanamshauri mwenzao aliepata mimba, badala ya kwenda kwa dakitari kutoa alipe pesa nyingi, aende kwa mtu...
Wadau ni kituo kinachotoa huduma rafiki kwa vijana haswa kuhusiana na magonjwa ya zinaa, afya ya uzazi, wa virus vya UKIMWI kwa hiari ulazimishwi na kupewa ushaur bure pia hiyo huduma ni BURE na...
Naomba kujua DFP ni nzuri kwa matatizo ya meno? mana ninapata wasiwasi kwa kuwa ile iliyotoka mwanzo kabisa kwenye miaka ya 2004/5 ilikuwa nzuri na iliandikwa ni kinga kwa miaka 20 lakini hii ya...