Habari Wana JF,
Naombeni mnitoe hofu tafadhali, mke wangu amepitiliza mda wake wa kujifungua na makisio yake yalikua tar 28/05 ila mpaka sasa bado na hahisi maumivu yoyote licha tu ya mtoto...
1. Mafuta ya nazi kwa afya ya Moyo:
Mafuta ya nazi ya asidi mhimu sana kwa afya ya moyo iitwayo ‘lauric acid' ambayo ina uwezo mkubwa kuuweka moyo wako katika hali ya afya na furaha kwa...
Pariyar akionyesha jeraha ilipotolewa ‘nyama' ambayo Figo lake aliambiwa ingeota. Picha na mtandao
KWA UFUPI
Maharamia wa biashara ya figo wanatumia umaskini na ukosefu wa elimu...
Wengi wetu tunafanya v2 kwa mashaka. kuhusu swala zma la mahambukz ya Vvu. kuhusu swala zma la mapenzi. et kuna ukwel wowote wa mahambukz ya ukimwi kuptia midomo . tusaidien ElMU KUPTIA HIL
Nimekuwa nafanya mapenz na wanawake wenzanga huu ni mwaka wa nne mwanzon niliona ni sawa ila sasa naichukia najitahid kuacha lakn nimeshindwa imefikia hatua nataman hata kufanya na dada yangu wa...
Napenda zaidi nitumie njia za asili za kuhesabu kalenda ila kuna kipindi nasahau nihesabu vip; naomba msaada wa jinsi ya kuhesabu kalenda ; ila huwa menstrual yangu iko irregular
Ni tatizo ambalo nimewaona nalo watu wengi sana hasa niliobahatka kulala nao mwezi wa barid. Lakini sina uhakika kama tatizo hili kawaida kwa binadamu.
Nahitaji msaada wenu.
Napenda kujua kuna jirani yangu dada yake ana uvimbe tumboni nyuma ya kizazi hii ni baada ya matokeo ya Ultrasound na pia ana uvimbe mwingine tumboni. Hali hii inaambatana na maumivu tumboni na...
mi Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha Nne mwaka 2013,
Anaenda chuo cha Afya cha st.bhakita namanyere kozi ya MEDICAL LABORATORY
naomba mnisaidie Kama hii kozi inawweza kumpatia kazi...
Serikali imesema itaongeza udhibiti dhidi ya watu wanye virusi vya ugonjwa hatari wa ebola, ili wasiweze kupenya na kuingia nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk...
Nimeamka asubuhi ya leo gafla naona kitu kama upele mkubwa kiasi kama jipu hivi sehemu ya shingo ya uume wangu.
Uvimbe huo hauumi kabisa but unanipa wasiwasi coz haijawahi kunitokea.
Naomba...
Habari za jioni wana JF!
Nina tatizo la kupiga chafya mara kwa mara na hili tatizo limenitokea takribani wiki sasa naomba wataalam mnijuze chanzo pia athari zake ni nini?
Dr Suboth Shetty
A visiting surgeon, Dr Suboth Shetty, who specialises in spinal related complications, has said the use of modern technology allows for the use of minimal invasive approaches...
And Am Really Angry Right Now
Nobody should have this disease. I never, in a bazillion years, would have ever thought I would be effected by it when I consider the type of family I grew up in...
Naomba ushauri kwa waliowahi kupanda na wenye utaalam wa kupanda milima. Kuna rafiki yangu alikuwa akitafuta baiskeli ya kufanyia mazoezi ya kupanda ml.Kilimanjaro.
Ana wiki moja tu ili apande...
mwanangu wa miaka 6 anaumwa jino.linamsumbua hasa usiku. nimeenda hsptl kumtoa kutokana na usumbufu wa kuogopa sindano Dr kashauri asimtoe, jamani hakuna means yyt ya kufanya mpaka atolewe maana...
Habari wana jamii f.
Naomba msaada wa swala hili, mimi na mke wangu tuna mtoto wa miezi 8,na kwa bahati mbaya mke wangu ameshika ujauzito mwingine, sasa sipo tayari kumwachisha mwanangu ziwa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.