Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Prostate gland anlargement (Uvimbe kwenye tezi ya kibofu cha mkojo) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi mno kwa sasa. Ugonjwa huo huweza kusababishwa na magonjwa kama vile U.T.I, kisonono,kaswende...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Homa ya Dengue ,nitajitahidi kutafsiri kwa Kiswahili ila naomba radhi pale ambapo nitakosea Dalili zake huanza siku 4 mpaka 10 baada ya maambukizi. Dalili zenyewe ni: 1. Homa kali naya...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Natumaini nyote wazima. Naomba kusaidiwa jambo hili huwaje. Ninaishi na mke miaka miwili sasa, lakini nakosa furaha kabisa kwani tendo la ndoa linafanyika angalau mara 1 kwa wiki 2/3, tena kwa...
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Ni kama fasheni siku hizi kukuta earswaps kwende gari, dressing table nyumbani na hata ofisini mwili una jinsi yake ya kujiswafi na kujilinda, na mojawapo ya maeneo hayo ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana-JF, Nasumbuliwa na kifua kubana, Kila nivutapo pumzi ndani au nje mbavu zinabana na kutoa sauti kama mtu anayevunja vijiti vikavu. Kwa mtu aliye karibu yangu wakati huo anaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salama wakuu! Mimi nina mtoto wa miaka 5, mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
FULL TRANSCRIPTION FROM NETWORK 23: Good evening, I'm Michel Kassett. This is Network 23. A couple of weeks ago we had a program on the subject of AIDS, addressing the question of whether AIDS...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kumeza manii ya mwanaume mwenye afya bora angalau mara tatu kwa wiki kuna faida zifuatazo: 1.virutubishi vya manii huongeza muda wakuishi. 2.uwezo wa kupambana na cancer. 3.kunamfanya mwanamke...
5 Reactions
133 Replies
58K Views
Magonjwa ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi. Ripoti ya iliyotolewa na Taasisi ya Afya ya Ifakara hivi karibuni inaeleza kuwa hospitali na zahanati nyingi...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Panya mzee akiwa mwenye nguvu baada ya kuwekewa damu changa KWA UFUPI Kwenye utafiti huo, baada ya kuchukua damu ya panya mchanga na kumuingizia aliyezeeka, ghafla alibadilika na kurejewa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA UFUPI Wakati kukiwa na changamoto nyingi za jinsi ya kupata tiba ya maradhi kama Ukimwi, saratani na kisukari, mengine yanaibuka yakionyesha kuwa dawa za kutibu maradhi ya uambukizo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu wana bodi nina maswali mawili naomba mnisaidie, 1.Nililala na msichana ikiwa ni siku ya 7 baada ya kuanza mzunguko wake na akapata ujauzito pia msicha huyo huyo nililala nae iliwa ni siku...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani wandugu, hii ni sku ya 3, kila ni kila natapika na mara nyingine navulimia kwa tabu mpaka usingizi unichukue..ila kichwa hakiumi...yaweza kuwa ni dengu ? hebu naomba mwenye dalili zake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtu unakuwa na hamu ya kufanya mapenzi na sometimes usipofanya unaweza kuota usiku ukapiz (For Men) bt ukikutana na she unampa goli mbili na hapo basi kupata jingine inaweza kuwa baada masaa 4 au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana Jf naomba msaada kama kuna mtu anajua hospitali inayotoa tiba ya afya ya mfumo wa uzazi kwa wanaume naomba anijuze tafadhali. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wataalam nchini marekani kwa mara nyingine tena wamethibitisha umuhimu wa nguruwe kwa maisha ya mwanadamu pale majaribio yao ya moyo wa nguruwe waliomuwekea nyani kuonesha pasi na wasi kuwa...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Anaomba kufaham dawa ip nzur ya kuweza kukausha kidonda cha Kutahiriliwa kwa haraka ana miaka 28 ametahiliwa jumapili tarehe 04 yeye alipewa dawa za kumeza Croxasilin.na asprin..
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarin., mi nina tatizo ambalo ni la muda mrefu, yaani nikioga tu maji mwili wote unawasha na nakosa raha kabisa, na nikiona kitu kichafu kichafu, au hata nguo chafu, au kitu chocht...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wan jf,mwaka wa nne sasa kwenye ndoa bila mtoto,NILIGUNDULIKA HOSP. KUWA NINA PCOS MIRIJA YOTE OKEY,MFUKO WA UZAZI OKEY,NIMETUMIA METFORMIN,CLOMID ETC BILA MAFANIKIO. NAHITAJI SANA MTOTO...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Back
Top Bottom