Wa ndugu ninamjamzito,anamimba ya week 34 madoctor walisahau kumpa Anti D injection kwa sababu mwanamke ana 0 negative na mume ana B positive,so alitakiwa apewe mimba ikiwa na week 28 lakini kwa...
Habarini wandugu;
Kuna rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo la kuingia bleed kila anapomaliza sex,na hata kama sio siku za karibu na mzunguko wa hedhi,yeye akiduu lazima akavae ped je kuna mwenye...
kwasasa tatizo langu la harufu mbaya kinywan limeisha baada ya kutafuna tangawiz kwa mwez sasa naona hili tatizo cpo nalo tena japokuwa nivigumu kujua kama unatokwa na harufu mbaya ila kwamim...
MVUA zinaendelea kunyesha
katika maeneo mbalimbali
nchini, na baadhi ya na maeneo haya
Yamekuwa yakikumbwa
mara kadhaa
hukumbwa na magonjwa ya
mlipuko kama vile
kipindupindu, kutokana na...
Nimejaribu kupima vipimo karibuni vyote vya damu majibu hakuna ugonjwa!Sasa ajabu mwili wote umejaa vitu kama misumali vinanichoma sana.Ushauri tafadhali!!!
Heshima kwenu waKUU.
Kuna rafiki yangu Mtoto wake ana Mwaka 1 anatapika wakati mwingine Anaharisha pia ana JOTO KALI amepimwa Maralia U. T .I lkn hakuna kitu na Mtoto anaendelea kuumwa kiukweli...
Mazingira ni jambo lingine linaloathiri afya. Iwapo maji tunayokunywa na kutumia ni safi na salama, iwapo hewa tunayovuta si chafu, maeneo tunayofanyia kazi ni salama na pia nyumba tunazoishi...
Niko kwenye harakati za kupunguza uzito,najua mbinu kadhaa ambazo nimeanza kuzitumia
1.kutembea angalau kwa nusu saa kila siku
2.kupunguza au kuacha kabisa chakula cha mafuta mengi(hapa nimeacha...
Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyo hitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango
cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika ya kuweza kugundua kama mtu ni mnene...
Habari za week end wana jamvi...
Tafadhali naomba maelezo ya kina toka kwa mtu yeyote mwenye utambuzi wa kitaalamu kuhusu tatizo la kiafya linalojulikana kitaalamu kama Foot Drop. Nimefikia...
Habarini Jamani.Naombeni ushauri wenu.
Nipo kwenye mahusiano na msichana mmoja ambae amesoma MVUMI DCT Chuo cha Manesi na Wauguzi Wasaidizi.Juma lililopita alikua akiniambia anawashwa/anasikia...
Mtu aliyelewa sana au mwenge hangover ya pombe dawa yake ni glass moja tu ya mtindi. Mtu aliyekunywa pombe na anataka kukata harufu ya pombe dawa yake ni ndizi mbivu
Wataalamu nisaidieni kuhusu pepopunda. Chanzo chake, wadudu waenezao wapoje na wanapatikana mazingira gani, wahanga ni watu wa umri gani, dalili kwa mgonjwa, athari, kinga na tiba yake. Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.