Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba tumsaidie dada angu, ana mtoto mmoja wa miaka 11 ni mwaka umepita tangu aanze kutafuta mimba, alienda hospitali akasafishwa mirija ya uzazi na kupewa dawa (clomiphene). Baada ya kutumia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tatizo liko hivi, siku moja nikiwa nimelala usiku, kama kawaida ya wanaume ifkapo asubuhi mida ya kuamka uume mara nyingi husimama. Sasa nilijikuta niko tofauti baada uume kusimama nakusikia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wana JF Kuna ndugu yangu mmoja kanipigia simu akaniambia kuwa kuna mabingwa wa kutibu masikio wapo Arusha na wanatibu bure, nilipo muuliza kuwa kaambiwa na nani akasema ameona katika TV...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini humu ndani heshima kwenu. Niko na mtoto ana miezi 7, mara nyingi huwa anapaliwa mate akiwa usingizini na hali hii nimeigundua siku tatu zilizopita. Sijajua hii hali inasababishwa na...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Wana jamvi takribani leo ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa haja ndogo vitu vyanitekenya tekenya kwa chini ya mzee na hasa pale ninapomalizia malizia
0 Reactions
3 Replies
1K Views
inawezekana yai likapevuka bila kuona mabadiliko ya ute? ni baada ya kutumia clomiphene
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau kwa ambaye ameshatumia dawa inaitwa ngoka 11 je kweli ni nzuri inaponya presha?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
.....habari, naomba kujuzwa muda muafaka wa mama mjamzito kuanza kuhudhuria clinic... na juu ya taarifa zote zinazohusiana na ujauzito.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kushave kanda kwa maji ya moto asubuh na jion then utanipa majibu japo cjajua kisayansi imekaa vp but mi nimefanikiwa
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Jmn ni vyakula gan au dawa gan atumie mjamzito ili azae mtoto mwenye nywele nyingi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wa kitabibu,nimejifungua kwa operation wiki mbili zimepita napata homa kali na maumivu makali ya tumbo.pia nnaharisha na kutapika.nimerudi hospitali niliyofanyiwa upasuaji majibu ninayopata...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ni kama miezi minne iliyopita niliwahi kulalamikiwa na jirani yangu kuwa Net za misaada zinasababisha kunguni,nilishangaa sana lakini sikuonesha kushangaa huko kwa yule aliyeniambia Baada kama ya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Hivi hospitali gani binafsi ina kipimo cha dengue? msaada wa Haraka tafadhali
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Juzi ucku nimemaliza dozi ya msetto ya mtu mzima, lakini cha kushangaza jana na leo dalili za malaria zinakuwa kama zinaanza upya, kichwa na mwili mzima kuniuma, sasa nachojiuliza inawezekana hii...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni dalili zipi za uchafu wa kwenye kizazi unaweza kuzigundua? Tusaidiane ndugu.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Sabuni pia zinasemekana kuwa na kemikali zinazoathiri mbegu za wanaume Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hutumiwa kila siku kama vile dawa ya kusugua meno, sabuni na mafuta...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi huu ni ugonjwa gani,maana leo naweza kuwa okay lakini kesho kwa chakula hichohicho nikaharisha vibaya.Madaktari wanadai niorodheshe vyakula vyote vinavyonisumbua na kuviepuka kwani hawaoni...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wana jamiiforums naomba msaada wenu; Shemeji yangu sasa ana kama wiki tatu ni mgojwa sana anasumbuliwa na maumivu makali sana ya kichwa na pili hana nguvu kabisa, tulimpeleka hospitali...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam wakuu wote wa JF; Hakika ninaleta ombi langu kwa wataalamu wa huku JF Kunipa data za kuweza kupata jembe langu (Baby boy).Tuna watoto 2 baby girl. Kuna link nimeshindwa kuiona...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifanya research hii kwa muda sasa na bado naendelea na research hiyo, ya kwa nini kuna kuwa na vijana wanaopenda kuingiliwa (mashoga). Mbali na yote yanayosemwa lakini mkae mkijua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom