Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

According to BBC World News, imegundulika vaccine ya Malaria na imefanyiwa utafiki kwa panya na imegundulika kufanya kazi 100%. Wanaifanyia utafiti kama itawezekana kwa binadamu, wameanzia hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau. Naomba kufahamu ni baada ya mda gan mimba ikishatunga kipimo cha mimba cha kutumia mkojo kinaweza kutoa majibu thabiti? Yaan baada ya muda gani baada ya sex msichana anaweza...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Jamani mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 hivi karibuni nimekumbwa na tatizo la kutokwa na michubuko sehemu ya juu ya uume hasa mule ambamo nilishonwa baada ya kutahiliwa . Hata nikivaa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
muwa una faida gani katika mwili wa binadamu?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu wana wa JF na wenye taaluma ya afya, Salaam! Nina mwanangu wa kiume wa miaka sita na anasoma shule ambayo humfanya tumwamshe kila siku ya shule saa 11:45 asubuhi. Akiamka na kusimama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina tatizo la tumbo nimeambiwa nimuone mtaalam huyu. hospitali gani anapatikana? Thanks in advance.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dengue Fever Dengue fever is ranked by the World Health Organization (WHO) as the most important mosquito-borne viral disease in the world - and the most rapidly spreading - with a 30-fold...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetumia dawa nyingi za hospitali sasa nimeamua kusalimu amri kwenu wanajf mniokoe kwani ni mwaka wa 3 sasa taifodi inanisumbua. Msaada wa mitishamba please.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wapendwa wana jf ningependa kuwashirisha mambo machache kuhusu afya zetu hasa kwa wele wenye kisukari, presha, pia kama una historia ya kupata maambukizi katika njia ya mkojo(Urinary truck...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A group of children in Tanzania who are naturally immune to malaria are helping scientists to develop a new vaccine. US researchers have found that they produce an antibody that attacks the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
France & Denmark have banned it from the country... RED BULL - slow death ... Do NOT drink this drink anymore! Pay attention...read everything... As a public health safety, please pass on this...
9 Reactions
19 Replies
5K Views
Kupauka mwili na mdomo|lips ni upungu wa kinga vitamin gani mwilini jinsia yangu ni MEE
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nilikunywa fansida siku 1 mwaka 2009 nilipoamka kesho yake nilivimba uso na macho, alafu uso ukawa mweusi sehemu niliovimba. Hadi Leo bado kweusi. Msaada kwa anaejua namna gani nifanye ili hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inasemekana kuwa kuna "epidemic ya dengue nchini kwetu. Kitaalamu, hii haileti maana hata kidogo; nitatoa sababu. 1. Tanzania ni nchi mojawapo ambayo dengue ni "endemic" hapa nchini kwetu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu heshima mbele naombeni msaada wenu, natokwa sana jasho kwapani hali inayopelekea kushindwa kabisa kuvaa mashati au tsheti nyeupe maana ulowana kabisa kwapani utafikiri nimemwagiwa maji! kama...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Ninakidonda kikubwa ambacho kimesababishwa na malenge lenge mguuni, sasa yapata miez miwil kidonda hakipungui, nitumie dawa gani? Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam Zenu Wakuu! Mimi ni mama wa watoto watatu, wote wa kike. Watoto wote hao nilijifungua kwa njia ya operation. Wakati wa mimba ya kwanza niliambiwa na Daktari kuwa siwezi kujifungua kwa njia...
2 Reactions
102 Replies
14K Views
Habari za leo wana JF. Mimi ni mzazi mpya nimejifungua kwa operation mtoto wangu wa kwanza tarehe 14/5/2014 ni jinsia ya kike. Msaada ninaoomba hapa ni kupatiwa ufumbuzi wa swala hili mwanangu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za kaz wakuu! Hali hii imenitokea leo asubuh kama saa3 hivi nilikuwa na kabaiskeli kakamongo nimepanda mlima kidogo tu nikaona pumzi inakata kifua kizito,kukosa nguvu nikapumnzika kando na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani Nina tatizo la jino (linaniuma sana) hivi kuna tiba nyingine mbali na kung'oa?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom