Mara nyingi tumekuwa tukishauriwa na wataalam kwamba kwa siku mtu anatakiwa anywe angalau lita moja na nusu ya maji,lita moja ya maziwa, pia ale vikombe vitatu vya mboga ya majani,calori kadhaa za...
Habari zenu wakuu katika afya! Rafiki yangu amekuwa na shida ya kutopata mtoto yapata miaka miwili tangu andoeke(afunge ndoa). Alivyoenda kwa daktari akampima na akasema hana tatizo lolote...
kuna mwanamke amekuja na kuniambia anamimba yangu ina mienzi 4 na wakat 2meachana muda mrefu xana naitaji msaada wa kujua kama mimba alio nayo ni ya kwangu au sio nifanyaje
Habari zenu,
Niko hapa kuomba ushauri wa kiafya juu ya mtoto wangu mwenye miaka mitatu na nusu,Nimehangaika nae saana ila naona hamna mafanikoio,tatizo kubwa ni upumuaji kama nilivoandika yaani...
Ilikuwa siku ya jnne 18/03/2014 nilienda hospital na kupimwa malaria,ila sikuambiwa kama nina malaria au sina nikaandikiwa dawa inayoitwa GINSOMIN ya Korean Panax Ginseng Extract na dawa nyingine...
Wakuu na waataalamu wa JF naomben msaada wenu kwani mi nna umri wa miaka 22 ila tayari dalili za kuwa na kipara zishajionesha na siipendi hali hii nifanye nin niweze kuepuka na janga hili...
Wakuu habari zenu nina jamaa angu anahitaji msaada uume wake kadiri siku zinavoenda unazidi kuwa kubwa anahitaji msaada wa haraka maana ishakuwa tatizo mficha maradhi yatamuumbua.mjumbe hauawi
Mitaani, kwenye mabaa dawa zinauzwa. Zinauzwa na wamasai, wachina, watu wa promosheni etc.
Dawa hizo ni za mizizi, vidonge na nyingine za maji.
Ni kweli zinaongeza nguvu za kiume lakini...
Habari zenu ndugu zangu naomba ushauri wenu kuhusu vidonge vya majira;
Mimi natumia majira leo mwaka kwa sababu sitaki kuzaa na huyu bwana na pia mnajua yote kuhusu mimi sasa naona naharibika uso...
Habar zenu, nina mwezi sasa tangu n0iache kutumia njia za uzazi wa mpango nimetumia kwa muda wa miezi 6 cha kushangaza sijaona siku zangu tangu nilipokuwa niktumia hadi leo ambapo nimemaliza mwezi...
Mimi nina wake watatu, nawahudumia wote na wawili wana ajira zao nzuri. Tatizo sasa mzee hajasimama na wote wanaonekana wanahitaji huduma hii nyeti ya kitandani. nashindwa kuelewa nifanyeje...
Kuna supplement inayoitwa EDMARK MRT COMPLEX , inauzwa 150,000/=( sachets 28) unatakiwa kutumia hiyo Ina faida nyingi
( eating less and having proper nutritional diet is the fastest way to reduce...
Jaman nahitaji msaada ujauzito wangu sasa ni week ya 39, ninapofanya zoezi la kutembea naumia sana kiuno na chini ya kitovu hadi nikikaa kusimama naumia sana chini kunakuwa kunavuta kwa maumivu...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wenu maana sielewi kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo.
Nina week moja tu ujauzito wangu ufike miezi nane(8),lately nasikia mifupa yote kuanzia kiunoni hadi...
Kuna rafiki yangu anatatizo,katika mbegu zake za kiume kwa upande wa kushoto kuna uvimbe wa duara na ni uvimbe mgumu,una miaka miwili sasa na mwenyewe anahistoria ya ngiri na choo hapati...
Habari wandugu,
Nasumbuliwa sana na unene na nimejaribu sana kufanya mazoezi lakini huishia kupungua kilo 3 hadi 5 alafu pindi niachapo basi hurudi kuongeza hadi kilo kumi. Kilo zangu zinacheza...
Are You Dealing With Health Problems?" Top doctors create award winning breakthrough clinically proven to boost your immune system and to help improve your health! Voted "Best Overall" liquid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.