Salam wakuu
Nini maana ya allergy ndani ya mwili? Nini kinasababisha allergy? Kuna kipimo kinaweza kuonyesha ni kitu/chakula gani mtu hatakiwi kula? Na jee inapona? Mdogo wangu anatatizo kaenda...
Ndugu zangu naombeni msaada juu ya maumivu wakati wa haja kubwa hata baada ya kumaliza huwa napata maumivu yanayopelekea hata kushindwa kukaa,Na pia kuna kama nyama imechomoza kwa nje kwenye tundu...
VIJANA wengi leo nyumbani Bongo wanapatwa na maradhi ambayo zamani
yalikuwa ya wazee au watu wa makamo. Maradhi haya ni kama kisukari na
mstuko wa moyo.
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa...
Iron inatumika kutengeneza hemoglobin, protein inaytomika katikca red blood cells kubeba oxygen
kwenda kwenye viungo mbali mbali vya mwili. Kama mama mjamzito unahitaji damu ya kutosha
kwa...
Umuhimu wa Omega 3 Kwa mama Mjamzito
Omega 3 humsaidia mtoto kukuza ubongo, kutengeneza retina kwenye mboni ya macho, na kutengeneza nervous system.
Omega 3 humsaidia mama kuzuia preeclampsia na...
Habari za jioni waungwana.B
Shemeji yenu ni mjamzito wiki 39 sasa na vimefanyika vipimo vya ultrasound vimeonyesha mtoto ana uzito upatao 3.9 Kg na kwa sababu hiyo DR kashauri afanyiwe labour...
Habari wanajamvi?
ninaomba kujuzwa juu ya matumizi ya hii dawa ya kuongeza damu mwilini aina ya hemovit kwa mwanamke mwenye ujauzito wa miezi nane yaani week 32,
Je akiitumia haitamletea...
Someone told me something this morning and she was very serious. She told me that ladies who are short get pregnant much faster than ladies who are tall. Could this be true?
Wasalaam JF, mimi nikijana nimeoa na sijafanikiwa kupata mtoto kwa sasa ila nime mbebesha mke wangu mimba na ikafikisha muda wa mwezi mmoja na nusu na kwa kipindi chote hicho sija kutana nae...
Habari wakuu,
Niko hapa rasmi kuitangaza hii system kwa ajili ya kuweka 'Appointment' na daktari ambayo inauzwa.
Ni system yenye uwezo wa hali ya juu na ya kisasa ambayo ina fanya mambo ya...
"Kwa mfano, tendo la ndoa linaondoa msongo wa mawazo iwapo unayetenda naye unampenda na amekupa maandalizi mazuri. Sidhani kama alimradi utende hilo tendo na yeyote litakusaidia," anasema...
Poleni na shughuli za kutwa wana jamii bila shaka mu wazima wa afya, kwa upande wangu ni mzima kiafya ila kimawazo ni tatizo.
Naombeni nianze hivi, nina mchumba wangu alie mjamzto sasa kila...
Habari wana Jf.
Kuna mtu ameniuliza swali limenishinda naombeni msaada wenu, alipata period yake tarehe 16 akasex na boyfriend wake tarehe 30 na 31 mchana, then usiku wa tarehe 31 akakutana na...
Our kidneys are designed such that their filtration capacity naturally declines after the age of 30-40 years. With every decade after your 30s, your kidney function is going to reduce by 10%...
Mchuzi wa pweza ni kiamsha nguvu (energizer )kinachopendwa sana na wanajamii,
Mchuzi wa pweza waweza kukusababishia magonjwa yatakayopelekea kusababishia kifo kama vile kandida fangus na kifua...
Wadau za asubuhi, mimi kuna katatizo kadogo kwenye lips zangu kwa kweli kananikera, ni mda sasa hizi lips zangu upande wa chini ya mdomo zimekua zimeungua Yani kama nakunywa pombe kali sasa sijui...
Hello Dk. Pole na majukumu ya kuelimisha jamii. Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 29, nilijifungua mtoto na kuweza kutumia njia ya uzazi ambayo ni njiti ya muda wa miaka mitatu, lakini nilikaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.