Habari za siku nyingi wakuu.
Natumai wote ni wazima wa afya.
Ningependa kufahamu magonjwa yanayowasumbua watanzania kwa wingi.
Hii ni kwa sababu ninasoma udaktari nje ya Tanzania na najiandaa...
MATUNDA YA KUPIGANA VITA NA UGONJWA WA KANSA MWILINI MWAKO KULA HAYO MATUNDA........ UNAWEZA PIA KUTENGENEZA JUISI YAKE .......
TOP 14 ANTI-CANCER SUPER FRUITS
Many types of cancer are...
Heshima zenu wakuu,nisaidieni tatizo langu imekuwa kama ni kawaida kila nikisha ovulate siku tano mbele yani wiki moja kabla ya periods napata maumivu upande wa kushoto sijui ni fallopian tubu au...
Msinitukane tafadhali, ningependa kujua juu ya hili suala maana ishu ya kutoa mimba ina madhara makubwa hasa kama imefanyika zaidi ya mara moja. Ni njia zipi au ni sehemu zipi za kumchunguza uliye...
Mke wangu ana maumivu ya kifua kwa muda mrefu sasa, na tumefanya jitihada za kuwaona waganga,
hatujafanikiwa, tumeenda sekotoure, mwananchi na bugando hosp (zote hizi ziko mwanza) pote hapa...
UGONJWA WA KISUKARI NA JINSI YA KUEPUKA
Kisukari ni ugonjwa ambao unasababishwa na kongosho kushindwa kuzalisha insulini au mwili kushindwa kutumia insulini ambayo inazalishwa ktk kongosho...
NATUMIA EFRAVIRENZ & AVOCOMB :
Naombeni msaada leo siku ya 28 natumia hiz dawa baada ya kupata ajari ya basi nikapewa hizo dawa nikaambiwa nitumie kwa siku 28 lakn kwenye packge vipo vya siku 30...
naomba msaada huwa wakati mwingine nawashwa na nikijikuna panavimba na hugeuka kuwa kama jipu na tatizo hilo hutokea miguuni tu wadau namba msaada anaejua dawa na tatizo ni nini?
Wadau mm naomba msaada nina tatizo la kuwanashutka moyo kama mtu mweny wasiwasi hutokea kama sekunde 3 nakujirudiarudia na mgandamizo wa damu unakuwa 105/60-85. Tatizo langu ni nn na linawezaje...
The Path to Healing and Health
Your body is designed to heal itself. It is actually quite incredible when you really think about it…I meanreally think about it.
In order for your body to...
Kwa muda wa wiki 2 nimepatwa na hali ambayo inashangaza,!
Kila nikikaa sana au kulaala niliamka nasikia maumivu ya miguu kuanzia kwenye magoti hadi kwenye unyayo!
Aidha nikitembea nasika maumivu...
Kwa experience yangu ndogo na research yangu ambayo nimewakilisha sample ndogo ya jinsi ya kiume na kike,sample ilikuwa na total ya watu 20, kike 10 na kiume 10,nikagundua asilimia kubwa ya...
Napata tabu kidogo, nasikia wanasema mkeo anakonda yawezekana tendo la ndoa halijamkubali, au manii yako hayajamkubali ndio maana anakonda, yangemkubali ungenenepa balaa. kisayansi hii kitu...
Wakuu,ninaye mchumba wangu ana miaka 21 alianza bleed tar 6 feb ikaisha 10feb ila leo kaniambia bado kuna viji-damu vinatoka ukeni kwake!,wakat wa mp huwa anaumwa tumbo sana siku ya 3 ila safari...
wana JF kama kuna mtu anamfahamu mahali ambapo naweza kumpata daktali bingwa wa ngozi (dermatologist) anitaarifu maana fungus zinatishia maisha yangu . Ni mwaka sasa nimekuwa nikienda hospitali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.