Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nn kinasababisha mwanaume kuchubuka kwenye mapaja sambamba na korodan?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba yeyote mwenye ujuzi kuhusu jinsi ya kupunguza tumbo kwa njia ya kutumia kabegi.me ni mgeni kwenye jukwaa hili naomba mnipokee.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Napenda niwe na uso wa kungaa halaf uwe soft bila make up yaan hata nkitoka kuoga tu nangaa
0 Reactions
104 Replies
15K Views
Kwa wataalam naomba msaada, jamani maana tumbo huwa linajaa gesi mpaka inakua kero hasa baada ya kubiga sana biere yaani unakaa bila raha. Sasa kama kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia kuondoa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Poleni na majukumu. Naomba kujua iwapo mtu akiwa na stress anaweza kupata maumivu ya mgongo. Karibuni wenye uelewa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mida hii wadau? mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi kumi na moja sasa. Mwanangu alipofika miezi miwili nilimuanzisha maziwa ya ng'ombe ndipo shida ilipoanza alikua anapata homa kali...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari wadau, Nina dada yangu ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo kuuma kila inapofika kwenye tarehe zake. ameolewa kama miaka 3 iliyopita ila hajabahatika kushika ujauzito. alienda hospitali...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Habari wakuu, Naombeni mnifahamishe dawa ambazo sio za hospital (home remedy) za mafua na kikohozi kwa mtoto wa miaka mitatu. Natanguliza shukrani....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
JF Doctor, Mimi nasumbuliwa na kitu kama kichomi hivi upande wa kushoto wa tumbo kwa muda mrefu, kama kunawaka moto lakini bila maumivu. Siwezi pia kustahamili kuwa na mkojo mwingi, naweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani salama wadau humu ndani,nina mtoto wa dadayangu anamatatizo yafuatayo,mtoto wake anamiaka miwili na mpaka sasa ajaweza kutembea mwenyewe bali anatambaa na kusimamia kitu,Na huyo mdada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvini natumai wote wazima, mtoto wangu wa miezi 5 anakaa siku 3 ndio anajisaidia aja kubwa naombeni msaada hii imeanza baada ya mie kuanza kazi sababu namkamulia maziwa yangu yakiisha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau, jana jioni mpenzi wangu ameniambia anajisikia kuchomwa chomwa ndani ya uke (kichomi), nikaona nije nijaribu kupata huduma ya kwanza kutoka kwa wadau wa afya kabla hatujachukua hatua...
0 Reactions
18 Replies
32K Views
Nahitaji Msaada Wa Haraka WanaJF....kama una number ya simu ya Gynaecologist Wa Temeke Au Kama Wewe Ni Mmoja wa Specialist Hao,Please PM me your number.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama nlivyoeleza hapo juu, kama unaijua vizuri hiyo trait, naomba ueleze wapo vipi ktk mahusiano yao na watu wengine na mfumo mzima wa maisha yao, mitandao mingi ya kisaikolojia inawaelezea kwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni muda gani mzazi anashauliwa kuanza kushiliki tendo landoa baada yakjifungua kwajia yakawaida.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kuingia kwenye mahusiano na mtu aliyeathirika na virusi vya ukimwi pale anapohitaji kujamiiana na asiyeathirika na ugonjwa huo. JE, Condom inaweza kuaminika asilimia mia moja kuwa itazuia...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Naomben kuelekezwa jins yakupata mtoto wakike au wakiume kulingana namzunguko wamama. Anaejua naombeni msaada please.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wana jf, naombeni msaada wenu kwa anaejua tiba halisi ya ugonjwa huu wa ngozi, ni vipele vidogovidogo hutokea hasa kwenye vidole vya mikononi, vinawasha sana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana Jamvi, waswahili husema "KIZURI KULA NA WENZAKO!". Leo nimeona niwaletee shuhuda juu ya uwezo wa VIRUTUBISHO vya EDMARK katika kutibu matatizo mbalimbali yanayotukabiri. Naomba nisiongee...
1 Reactions
2 Replies
10K Views
Back
Top Bottom