Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ukitaka usiumwe fanya hivi kila siku: unapo amka asubuhi kula tunda la tufaha (apple) hutoweza kuonana daktari siku nzima. kula jani la mrehani au punje 1 ya kitunguu saumu hutapata ugonjwa...
23 Reactions
123 Replies
46K Views
Naleta hili kwenu mnishauri . mpenzi wangu nina miazi 3 tangutumeoana. leo kaniacha nimechanganyikiwa…analalamika kuwa eti nina mtarimbokiduchu (yaani mb** ndogo) na huwa simfifikishiAljezera...
1 Reactions
109 Replies
29K Views
Naomba mnisaidie kwa hili maana nachanganyikiwa. Inasemekana wamba mtu akifanymapenzi sana mara kwa ara anawza kuepuka matatizo ya moyo, presha, sukari n.k. Sehemu nyingine inasema kuwa mtu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo 5 yanayoweza kuDhuru Ubongo wako. Kukosa Kifungua Kinywa asubuhi Watu wanaokosa kifungua kinywa asubuhi wanapata upungufu wa kiwango cha sukari kwenye damu. Hii husababisha upungufu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani napenda kutoa shukran zangu za dhati kwa dokta mzizimkavu na madaktari wote wa JF, japo sikuwahi kuleta uzi humu jukwaani lakini nilikuwa najitahidi sana kufuatilia kwa ukaribu miongozo yao...
14 Reactions
46 Replies
6K Views
Habar zenu wanajamvi. Mimi nimekua na tatizo la kutaka kujiua mara kwa mara. Ninapoishi nakaa kwa ndugu yangu, huyu ndugu yangu amekua na tabia ya kuninyanyasa na saa ingine kunidhalilisha...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu, Nina changamoto hapa ambayo naiona. Mke wangu ni mjamzito na Mungu akipenda tunategemea mwezi wa tano, anafanyia kliniki hospitali ya Aga Khan na tunakaa Mbezi mwisho. Sasa kutokana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Juzi niliambiwa kuna kipimo cha kumeza kipira juu ya maumivu ya kifua na tumbo, nilikua namuulizia matibabu kaka yangu analalamika sana juu ya kifua na maumivu tumboni nikaelekezwa niwaone...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jamii, hivi kuna sabuni amabyo ukiitumia mbu wanakukimbia? Maana nafahamu kuna "mosquito spay" ukijipulizia mbu hawa kugusi. Je kuna sabuni ambazo ukiogea mbu hawakugusi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam za dhati wakuu nakumbuka zimepita siku nne toka nizamie sasa leo nashanga koo yangu imekuwa nzito yaani nabanja hovyo mpaka najishtukia, wakati si kawaida yangu sasa sijui ndo tayari maana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa nilipo naumwa malaria kweli kweli almost for 3days.Nitumie mbinu gan ya asili hasa aina ya matunda niweze kupona??NAENDELEA NA DOZ YA MAJI YA UVUGUVUGU.Asanten
0 Reactions
6 Replies
3K Views
By Innocent Anguyo IN a bid to prevent her from contracting HIV, the baby who was allegedly exposed to the virus after a nurse injected her with HIV-infected blood has been put on preventive...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi nauza products za FOREVER LIVING kwa wateja wa products hizo. Leo nimefuatwa na mwanaume mwenzangu mmoja faragha, akaniomba nimsaidie dawa ya tatizo alilonalo. Tatizo lake ni kuwa kila...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
KUKUTANA KIMAHUSIHANO NI JAMBO MOJA, ILA KULIZISHANA NI JAMBO JINGINE, KWASABABU KULIZISHANA KUNAITAJI, UWELEWA USANIFU WENYE UBUNIFU, NA UWEZO TIMILIFU WA KUFIKISHANA KILELENI, SISI TUNA SHAURI...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
habari za muda huu wakuu, kuna swali ambalo naomba ushuri toka kwenu na swali lenyewe ni! kuna ndugu yangu amejaliwa kupata mtoto ila ahisi kuna tatizo coz mtoto akilia kitovu kiakuwa kirefu na...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Nimetembelea hospitali nyingi kama muhimbili na mwananyamala kwenye vitengo vya kisukari na nimeona watoto wengi jinsi walivyoathirika na kisukari inasikitisha sana hasa nikiwa najua naweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Not all sperm are made equal: As much as a man would love to have millions of perfect little guys, the fact is that many of them are deformed. We're talking two heads, two tails, squiggly...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Post-exposure prophylaxis ( PEP) ni dawa za kuzuia maambukizi ya VVU,nilianza kumeza tarehe 18/1/2014,nilienda kupima tarehe 23/2/2014. Nikakuta sina maambukizi lakin bado sijiamini Hivi mnaojua...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nahitaji kununua microscope nzuri kwa ajili ya matumizi ya maabara ya zahanati. Mwenye utaalamu naomba anisaidie specifications za microscope ya kiwango kizuri.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawashwa mwilini na nikijikuna kunatokea uvimbe mfano wa vipele but vinakuwa vigumu na vinawasha sana. Je huu ni ugonjwa gani? Au ni tatizo gani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom