Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Pongezi ziwafikie kwa kazi nzuri, jamii inapata faida sana. Kuna rafiki yangu ana tatizo la kiafya, lakini kwa bahati mbaya hana ID humu, yanibidi nimpe kampani. Jamaa anasema alipata tatizo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nina mzazi wangu mtu mzima(zaidi ya miaka 60)ambae anasumbuliwa presha kwa muda wa miezi miwili sasa,pamoja na kwenda hospitali na kufuata masharti yote ya tiba naona nafuu ni ndogo sana mwili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani hii photograph inaonesha kwamba kuna condom over size na nyingine under size! mimi toka nianz kutumia condom sijawahi fuatilia masuala ya dimensions kama inavyoelekezwa hapa! je hii...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habar, nimekuwa nikisumbuliwa kwa tatizo la figo kwa miezi 5 sasa kila nikipima napewa dawa lakin tatizo linaendelea dozi ikiisha, ninasumbuliwa sana na kuvimba miguu nilipima renal test mara ya...
2 Reactions
31 Replies
8K Views
Habari wapendwa! naomba kuuliza ni ugonjwa au ni kawaida kutokwa na vidude vidogo vya mgando vyenye rangi ya njano na vinatoa harufu kali sana kwenye koromeo hivi ni kitu gani hasa hiki? huwa...
0 Reactions
22 Replies
27K Views
Sehemu kubwa ya nchi kwa sasa ni msimu wa maembe Kuna watu husema kwamba ongezeko la ulaji kupita kiasi huchangia ongezeko la nyongo mwilini Je kuna ukweli wowote?? Karibuni kwa michango yenu​
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Time to Talk Tips High Blood Cholesterol? 5 Things You Should Know Approximately 13 percent of U.S. adults has high total cholesterol. Lowering cholesterol levels can slow down, reduce, or...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The #1 Vitamin Deficiency Damaging Your Brain Sadly, this affects 1 in 2 older adults. Are you one of them? Dear Health Conscious Reader, Did you know that 1 in 8 Americans over the age...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
5 Things You Need to Know About Your Blood Type Have you ever wondered why you are not losing weight after following the exact same diet as your best friend and she manages to lose those 10...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete Rais Jakaya Kikwete amesema changamoto kubwa iliyopo kwenye sekta ya afya inatokana na ongezeko la idadi ya watu. Kikwete aliyaema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamii nina tatizo kwenye uume wangu kunakuwa na maumivu kwa mbali hasa karibia na tundu la kutolea mkojo je?inaweza kuwa tatizo gan kwa anayefahamu anisaidie plz tatizo limeaanza jana
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Mimi ni manusra wa ajali ya noah iliyotokea tarehe 18 asubuhi maeneo ya dakawa MOROGORO na kuchukuwa maisha ya watu 10 kati ya 13.Nina maumivu kwenye paji la uso,mataya ya meno na mbavu.Watu...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari zenu wapendwa wangu. Naombeni kujua ni wine gani naweza kutumia na zisilete ongezeko la uzito ktk mwil wangu?kama ambavyo bia zinasababsha? Nawatakia usiku mwema
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Jamani nina maumivu makali sana ya jino sijui hospitali nzuri ni ipi mara ya mwisho nilienda tmj ila sikuridhishwa na huduma zao ni jino la juu msaada tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwaka 2003 gego langu la mwishoni juu kushoto lilianza kutoboka taratibu na kuuma. Mpaka 2008 likawa limetoboka kabisa na kuanza maumivu makali.Watu kadhaa wamenishauri nisiling'oe eti laweza...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
........
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwenu wanajamvi; Nimekuwa nasumbuliwa na PERIPHERAL NEUROPATHY na huu ni mwaka sasa toka nianze kutumia dawa aina ya NEUROTON pamoja na PHYSIOTHERAPY(mazoezi) pale BUGANDO M.C Nashukuru...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Namshukuru Mungu amenijalia watoto na nikaona kuwa inatosha na kuamua kufunga kizazi. Tatizo kadri siku zinavyoenda napoteza nami ya tendo la ndoa pia nakuwa na stress bila sababu. Je yaweza kuwa...
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Habari wanaJF,naomba ushauri wenu! Rafiki yangu ana miaka 30,ndoa yake ina miaka 6 bila mtoto,hajawahi kuzaa wala kutoa mimba. Mzunguko wa siku zake hauko sawa,kuna wakati anawahi kuona siku zake...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Back
Top Bottom