habr ndg zangu,nisaidieni kutopata hedhi leo ni siku ya 56,nimeshapima ujauzito kwa kutumia hcg yaan urine test ziadi ya mara tatu na leo nimetest hamna kitu licha ya mwanzoni nilipata kuumwa na...
If you've ever been to see an acupuncturist, odds are even that you had a brush with Chinese herbal medicine. If you didn't take herbs, maybe you saw shelves lined with pretty, exotic labels. Or...
Habari za hapa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 na nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka 2 sasa, kikazi naweza kusema ni fundi ambae muda mwingi huutumia ktk laptop (yaani kukaa kwa muda...
habari wakuu,
naomba msaada ktk hili kwa mwenye utaalam ni hivi mtoto wangu ana miezi 6 sasa shida ni kuwa usiku analala kwa masaa machache sana almost matano afu akiamka halali tena yaani...
Habari zenu wapendwa!!!
Jamani eeh.......! mwenzenu kuna bidada anataka kunikaba koo mie kisa tu na yeye anataka kuwa kimodo mwenye big butt!!!!!!!
Mwanzoni nilichukulia masihala sasa jana...
Habari JF Doctors, nna mchumba wangu ana tatizo kwenye mzunguko wake mara ya kwanza alikua anapata siku zake kwa mzunguko wa siku 28, lakini kwa sasa imechange sana mwezi uliopita alipata mzunguko...
Habari, mimi ni mwanamke na mama wa mtoto mmoja, tatizo langu ni kwamba miezi miwili nyuma nilijifungua kwa operation, sasa ule mkono ambao ulitumika kutundikiwa drip na kupitishia dawa umekua km...
Sept. 19, 2008 -- Men, beware: Using a hands-free device with a cell phone may affect your fertility if you keep your phone close to your testicles, Cleveland Clinic researchers warn in the...
Jinsi kidole tumbo kinavyoonekana kwenye mwili wa binadamu. Picha ya Mtandao.
Tatizo hili haliwapati watoto wenye umri chini ya miaka miwili na huwapata zaidi watu wenye umri kati ya 15-30...
Wakuu hili swala linaninyima raha kila siku ya uchao kwa mungu. Naumia roho zaidi hasa ninapo waona wenzangu wenye navyo(VITAMBI) jinsi wanavyopendeza..hasa wakichomekea kidogo alafu wakimalizia...
nimewahi kuandika humu sikupata attention. nimeona watu wanatafuta msaada wa figo kwa wagonjwa wao ambao baadaye wameripotiwa kufariki kwa kutozipata.
mimi niko tayari ku donate figo moja...
habari wataalam. mimi huwa napatwa na tatizo lakuvimba chini kidogo ya sikio uvimbe huwa simkubwa sana nikama kijipu uchungu hivi. lakin chenyewe huwa kinakaa kwa mda mrefu mpaka kuiva nakupasuka...
Nimeona nyuzi zako nying hapa ambazo daima zimejaa hekma busara na elimu aidha kuhusu magonjwa au tiba au kinga.Kwa kwel nimevutika na maarifa yako na chemchem yako. ninachotaka kujua jee una...
Heshima kwenu,
Mama watoto wangu ni mjamzito,huu ni uja uzito wa pili,ameanza kliniki kwa wakati.
Mara ya mwisho kwenda kliniki ameambiwa apime Ultra Sound.
Daktari wa ultra sound amemwambia ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.