Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwa muda mrefu nimekua nikipita sehemu nyingi kila mtu anasema lake juu ya ingredients za kuboost wanaume kuhusu swala la kitandani. Hii imepelekea wengi kutapeliwa na wengine kulishwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
My wife kajifungua wiki moja iliyopita, mtoto wa kwanza huyo, kwa jinsi ninavyomuona huyu mtoto atakuwa na chogo kama la mimi baba yake. Nimeshawahi kusikia kwamba unaweza ukamfanyia mazoezi...
7 Reactions
79 Replies
33K Views
Hello wana jamvi (Jamiiforums) Nime detect hii kitu kwa mara ya kwanza mwaka 2016 Tangia hapo inashuka na kupanda Nimetumia dawa za hospital Bado hazileti nafuu Angalau dawa za mitishamba(kisuna...
0 Reactions
3 Replies
425 Views
Wanawake wajawazito wanaweza kuwa hatarini zaidi wakati wa joto kali kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Joto kali linaweza kuzidi uwezo wa mwili wa kudhibiti joto la mama mjamzito, na hii...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
10 Januari 2022 Maelezo ya picha, Hadithi ya dhahabu, ubani, inahusishwa na Yesu Kristo Mapambo yanayotengenezwa katika onyesho la Krismasi huonyesha vitu vitatu vikitolewa kama zawadi. Hadithi...
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Habari za midaa wakuu, ninashida ya miguu & viatu kutoa harufu baada ya kuvaa, hata nikivaa masaa 6 baada ya kuvua lazima vitoe harufu. Mwenye anajua tiba naomba maelezo
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Fy: Nimetumia terbinafine cream vikapotea nashangaa jana vimetudi Ushauri tafadhar
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Boga ni nini? Pumpkins ni miongoni mwa vyakula vilivyopo katika kundi la mimea ya Cucurbitaceae au familia ya squash. Maboga huwa yana umbo kubwa, la dura na rangi yake huwa ni ya kijani...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya tohara nyuzi zimeachia na kumekua na kidonda kuzunguka uume nitumie dawa gani kuweka uume wangu sawa?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TUMIA DAWA HII HAPA CHINI ITAKUSAIDIA : Tiba (1) Matatizo ya macho Asali ni bingwa kwa ajili ya macho, Pakaa asali katika macho huzidisha nuru ya macho, pia husaidia katika matibabu ya trachoma...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Jinsi ya kuiandaa dawa ya Mbaazi Chukua Majani, au maua au mizizi kiasi cha nusu kilo (Ni vizuri kama utachanganya vyote) Pondaponda na uloweke kwenye maji safi kiasi cha lita mbili (2) kwa muda...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Nguruwe ana-protein nyingi sana kuliko mnyama yeyote,Hiyo ndiyo inayomfanya kuwa host wa parasite wengi zaidi kwani nyama yake ina-create conducive environment for breeding and feeding hivyo...
1 Reactions
45 Replies
13K Views
Kumekuwa na malalamiko humu ndani watu wanapoleta matatizo yao ya kimwili na baadhi ya watu kuanza kuleta mizaha. Mjadala wangu leo umebase sana kwenye magonjwa yasiyoambukiza kisukari, pressure...
1 Reactions
1 Replies
476 Views
Wiki ya 8-12 Miadi yako ya kwanza ya kliniki inatakiwa kuchukua nafasi wiki ya 10 ya ujauzito ili mkunga wako akufanyie vipimo na uchunguzi mapema kama anahisi ni lazima. Ila inaweza fanyika kati...
5 Reactions
3 Replies
5K Views
Kama ilivyo kwa title mtoto huyo ni miaka Saba ameimeza shilingi 200 tangia saa 12 jioni. Naomba msaada wa mawazo yenu Wana JF
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari ndugu wadau? Nina maumivu ya mgongo nyuma ya kifua. Je, naweza kua ni dalili mbaya? Kuanzia mwaka 2009-2012 niliwahi kuugua aina fulani ya jipu mguuni, na nilifanyiwa Operation mbili kwa...
1 Reactions
3 Replies
560 Views
Hello members Mimi ni kijana wa miaka 24. Week iliyopita Jumatano nilitumia vumbi la kongo ila cha ajabu kwenye show uume ulisimama legevu sana! Yani ulikuwa unasimama halafu nikitaka kuingiza...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
1. The less you say, the more your words will matter. 2. Don't take everything personally. Not everyone thinks about you, as much as yourself does. 3. When you focus on problems, you'll have...
1 Reactions
3 Replies
512 Views
Vidonda vya tumbo vilivyopo tumboni (tumbo la chakula) na vile kwenye utumbo mdogo tofauti yake ni nini? Kwa wanaojua tafadhali naombeni kujua wakuu.
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Zamani iliaminika kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na mawazo. Baadaye zikaja stori za Helicobacter pyrori kidudu ambacho kipo kwa karibia 80% ya watu. Ipo hivi; Kidonda chochote ukiumia...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom