Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

habari wana jamvi, mke wangu ni mjamzito wa kama miezi mitatu na nusu hivi, cha kushangaza na mimi nimeanza kupata hali ya kupenda vitu vya ajabu, nachagua chakula, napenda sana malimao na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
First Human Who Can See In The Dark Stuns Medics A young Chinese boy who was born with beaming blue eyes has stunned medics with his ability to see in pitch black darkness. Nong Yousui from...
5 Reactions
30 Replies
12K Views
​ Kufuatia kichwa cha habari kilichopo hapo juu, nachukua fursa hii kutoa Historia fupi ya Kijana huyu anako toka na jinsi ugonjwa alionao ulivyo gundulika mpaka hivi sasa.Zuberi Mgeni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu naomben mniambie dawa ya jipu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari waungwana nataka kushika mimba mzunguko wangu ni wa siku 28 hadi 32 naomba kujua siku za kushika mimba ni zipi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wale wanapenda kukaa na simu kitandani. Wataalamu wanasema sasa kuna gonjwa jipya linaitwa 'sleep texting' linaathiri quality ya usingizi na afya kwa ujumla. so be warned... Baada ya sleep...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Im a MALE 24yrs. Nitapata madhara gani kiafya nikijamiana na mwanamke aliye ktk siku zake?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Makala mpya inayohusu virusi hatari >>> http://www.fikrapevu.com/hpv-virusi-hatari-zaidi-kwa-wanawake/
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa habarini za muda. Napenda niulize kwa wale wanaofahamu hususani mtaalam wetu Baba MZIZI MKAVU. Ni nini FAIDA na HASARA ya hiki kitunguu ktk miili yetu, hasa tunaokitumia kama dawa.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Heshima mbele, jamani toka jana nasikia kichefu chefu cha ajabu sana.najua wapo watakao sema ni mimba lakini sina mimba nina uhakika na pia malaria sina.sasa sijajua hichi kichefu chefu kinatokana...
0 Reactions
48 Replies
37K Views
napenda kuuliza inawezekana dactari msaidizi yaani [AMO] assistant medical officer kuijunga na chama cha madacktari,na taratibu za kujiunga ziko je? naomba kuwasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tangu kuingia kwa dawa za kuvubaza VVU (ARVs) kumeripotiwa kuwepo kwa mafanikio makubwa katika kuboresha afya za watu wanaoishi na VVU kwa kusaidia kupunguza idadi ya VVU na kuongeza idadi ya...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Naomba kupata mawazo ya wana jf juu ya kuwa na daktari wa familia,je ni sifa zipi awe nazo?je awe kijana au wa makamo ,awe mwanamke au mwanaume na faida na hasara zao ni zipi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina kauvimbe kwenye jicho, sio jipu , hauwashi wala haumi, ila unanikera sana kuungalia. Uvimbe huu huwa unajitokeza na kupotea mara nyingi ila kwa sasa uko kwa muda mrefu. Ni zaidi ya wiki tatu...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habar wakuu hiv kuna mpango wowote unaendelea kuvumbua hyo dawa maana naona kimya
0 Reactions
21 Replies
4K Views
COLD WATER - Body has to expend energy to warm up water in order to use it. Helps to cool down the body after workout/exercise. Constricts blood vessels, this reduces hydration and absorption...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Salaam madaktari&wana Jf. Naomba kujuzwa 1:mechanism behind kutekenywa(Kwapani,tumboni,kwene mbavu nk) na kwanini mtu akitekenywa anacheka. 2:Kwanini,as age advances,hiyo hali inapungua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
HEART ATTACKS & HOT WATER: A very good article which takes two minutes to read. Heart Attacks And Drinking Warm Water This is a very good article. Not only about the warm water after your...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba msaada wa kujua gharama ya kuweka jino bandia maana nasikia kuna aina tofautitofauti na gharama tofauti, kikubwa jino langu limekatika juzi kulikuwa na ugomvi kidogo, lipo nusu tena la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutana na mtaalamu anayetibu kisukari kwa kwenda kuondoa tatizo kwenye KONGOSHO ambalo linakuwa limepatwa na tatizo la kushindwa kutengeneza insulin iliyo na kazi ya kurekebisha sukari kwa kiwango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom