Daktari Bingwa wa Watoto katika Hospitali ya Muhimbili, Profesa Karim Manji (wa pili kushoto) akifurahia na wenzake baada ya kufanikiwa kwa operesheni ya kuwatenganisha watoto walioungana, kazi...
Habari wapendwa wanavamvi.
Naombwa kujuzwa sababu za mwili kuwa wabaridi kiasi tofauti na miaka 5 na 4 ilopita nilikuwa na joto sana kiasi hata nikimsalimia mtu anauliza km naumwa au lah.
Sasa...
Na Dk Isaack Maro ; isaac.i.maro@gmail.com
KWA UFUPI
Hata hivyo, inapotokea uwiano huu wa kinga ya mwili na bakteria kushindwa kuzuia ongezeko la fangasi, basi fangasi hao huongezeka na kuwa...
Kila nikikutana kimwili na mke wangu analalamika sana maumivu. Huwa nachukua muda mrefu wa kumuandaa lakn huwa haisaidii. Naomba msaada juu ya kilainishi gani kinachoweza kuongeza utelezi na...
Wengi tunafuga nyuki, tunakula asali lakini hatujui kama nyuki wana faida zaidi ya hizi hapa.
Wanasayansi kutoka chuo kikuu cha tiba Washington, Marekani wamegundua katika utafiti wao kuwa sumu...
Nina tatizo la kulegea meno kibaya zaidi ni haya ya reception yaani nahisi yatadondoka yote. Tatizo hili linasababishwa na kulika kwa fizi zangu zinazo yafanya meno yaning'inie kwa sababu fizi...
Baada ya kurudi nyumbani likizo wazee wangu wamenisihi niwasaidie kazi ya kuwasaidia wenye matatizo ya uzazi kwa njia za sili. Nimetafakari sana sasa nimeamua nikubaliane nao hivyo natoa ofa kwa...
sikuwa najua kuwa bado kuna watu wana mafunza miguuni. Jana nimekutana na m2 ana mafunza miguuni mpaka kwenye mikono. Nilipo ongea nae akaniambia eti familia yake wote wapo kama yeye, wote wana...
Wakuu poleni na majukumu..nina ndugu yangu ana tatzo la mkono wake kutetemeka kwa mda kama wa dakika nane hvi, kila siku hali ile ina mtokea tuenda hospitali kapewa dawa zilimsaidia kidogo lakini...
Wakuu,
Kuna hii dawa ya maumivu inaitwa HEDEX, imeadimika sana madukani.
Wauzaji wanadai imepigwa marufuku na TFDA, lakini sijaona tangazo lolote wala kusikia kwenye vyombo vya habari?
Kuna mtu...
Habarini wakuu,kuna binti ana mimba ya miezi saba,na yupo chini ya kumi na nane je kuna uwezekano wa kuweza kufanya mimba iharibike?N.b sio kutoa mimba njia nyingine lengo n mwakani aende...
Porn Causes Brain Damage
In today's culture, porn is not going away. You can avoid the damage this sin causes.
by Howard Davis
Let's face it. After 20 years of exposure to thousands of hours...
nipo likizo so mda mwingi napitia you tube sasa nimekutana na video moja inaonyesha kuwa UKIMWI ulitengenezwa kupunguza wingi wa watu ktk nchi za ulimwengu wa tatu kwan wanaona tunazaliana sana...
Msaada wakuu. Mdogo wangu ameanza kupata mvi (zimechachamaa zaidi kidevuni) wakati hata miaka 30 hajafikisha. Mimi ninamzidi umri ila sina hata punje ya mvi.
Inawezekana hii ni upungufu/ukosefu...
naona kama kuna utofauti hapa..labda mkuu wetu mzizimkavu atudadavulie apo...
maana mtu anakua hana hamu tuseme na mkewe ya kugegeda kikamilifu lakini mtu huyo huyo akitoka nje anapga gem ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.