Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi...
0 Reactions
32 Replies
16K Views
Habari wana-JF Naomba kuuliza JF Doctor Mwanamke mwenye ujauzito kuanzia miezi mitano anashauriwa kufanya ngono mara ngapi kwa wiki na kwa staili gani? akifanya mara nyingi kuna madhara? kwa...
0 Reactions
14 Replies
25K Views
msaada kwa aliye wahi kupima kipimo hiki plz naomba anijuze gharama yake hospitali yeyote anisaidie nijue ni wapi na gharama yake saidia tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamvi. Naombeni msaada wenu,nina mdogo wangu yapata miezi 6 sasa anateseka na ugonjwa wa u.t.i. Nimeshampeleka hospitali na kashatumia vidonge vingi bila mafanikio. Kikubwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi kuna tofauti gani kati ya X ray na Ultra sound maana mimi nashindwa kutofautisha.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Korodani za wanaume na majukumu ya mzazi! Wanasayansi wanasema kuwa kuna uhusiano kati ya ukubwa au udogo wa Korodani (Testicles) za baba na uwezo wa baba kutekeleza majukumu yake kama mzazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Jioni,mimi ni kijana wa Kitanzania ambaye nimeanza mapenz nikiwa darasa la sita,nimeishi na maisha ya kupenda Ngono kwani nimekuwa na wanawake tofauti tofauti,sasa hivi nina miaka 26,na...
1 Reactions
37 Replies
9K Views
napenda kuuliza kuwa ktk jiji la mwanza duka la kuaminika la dawa za mifugo na kilimo linapatikana mtaa gani? Naombeni msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Be careful when you hold your child's hand. You may not be aware of accidentally injuring them.
14 Reactions
28 Replies
6K Views
Image: RawForBeauty.com Drugs commonly taken for a variety of common medical conditions negatively affect your brain, causing long term cognitive impairment. These drugs, called...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba kuuliza nikiamini hapa kuna wataalamu waliobobea,Nna mpenzi wangu siku zake hazieleweki sjui yupo kwenye mzunguko mrefu au mfupi n.k.anaweza leo ikawa siku yake baada ya wiki ikarudi tena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti hivi vimpira km chuchu tunavowawekea watoto wadogo mdomoni kuvinyonya (sio chupa za maziwaviinamadhara yoyote kiafya? Msaada kwa anaejua Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Ndugu wana jamvi kwa muda mrefu sasa nimekua na tatizo hili la macho yangu kupiga wekundu ulopindukia jambo linalo niweka katika wakati mgumu kwani baadhi ya wakati nashindwa kujitokeza katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimetokewa...na natokewa na viuvimbe fulani usoni ambavyo ni vyeusi na haviumi. Ni vidogo sana kana upele kidogo lakini haviumi kabisa. Sasa uso wangu umekuwa kama nina madoa madoa madogo meusi...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Toxic, cancer-causing arsenic found in rice products -- even organic rice milk Grains of uncooked jasmine rice in Harrisburg, Pennsylvania. (file photo) Mchele wa aina ya Jasmini kabla ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kuna tabia ambayo iko sana kwenye maeneo ya vijijini na sehemu ambayo wanaishi kwenye nyumba ambazo hazina vyoo vya ndani...ikifika saa nne anakojoa mtoto kwenye kopo..ikifika saa sita anakojoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
For all chocolate lovers, Chocolate can be good for your teeth. Yes, you heard it correctly. Just forget all rumors about being unhealthy sugary snack; and remember all health benefits chocolate...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
tupo wtoto wanne katka familia yetu but mmojawetu ambaye ni dada yetu mziwanda ameambukzwa virus toka kwa mama ambaye sasa ni marehm. kwakwel toka nimchukue baada ya mm kumaliza chuo na kupata...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom