Wakuu mi ninatatizo moja,yani naweza kukaa ofisini jasho likajaa kwenye kwapa shati lote linalowa kwenye kwapa,na kuhusu nywele za kwapani najithd kuziondoa kila mara,sasa kama kuna mtu anjua hili...
Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa ku~do?
Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi...
Salam wakuu,
Kwa siku nyingi nimekua nikisikia kwamba viroba vina madhara kwa binadamu. Nikawa najiuliza inakua vipi wakati vimepitishwa na shirika la viwango tanzania? Wengine wanasema...
Waheshimiwa naomba ushauri wenu/jina la dawa. Niliugua chickenpox last yr lakini baada ya kupona nimebaki na scars ambazo zimeharibu sura ya ngozi yangu na zinatisha ukiona. Niko serious na jambo...
Huyu jamaa ni nouma ktk mambo ya upasuaji wa watoto walio ungana..amekua akialikwa nchi mbalimbali kusaidia upasuaji hasa Afrika kusini.Huyu jamaa ni mweusi kama sisi aliyetokea familia maskini...
nna rafik yang wa kike ana tatzo la kutOkwa na ute mweupe ktk sehem zake za siri! na hajawah kufanya mapenz ht mara moja wala hapat muwashO wala maumv yyte ktk sehem zake! je waweza kuwa ni ugonjwa?
Is It Healthy to eat Instant Noodles?
Instant Noodles is a popular cheap food item that keeps coming up to the market to attract the fast paced community of youngsters. Even though it is...
Kuna dada mmoja anasumbuliwa sana na tatizo la kupata maumivu
makali anapokuwa kwenye menstruation (dysmenorrhoea), jambo
linalomnyima raha. Amejaribu sana tiba za hospitali bila mafanikio
na...
Wanajf kutokana na matukio mbalimbali Tanzania nimeona niulize hili swali ili wajuzi watuelimishe tujue namna ya kufanya maana hatujii matukio haya yatakoma lini. Je nifanyeje kumpa huduma ya...
Mimi ni binti nina tatizo tumbo langu linakuwa kubwa mpaka mtu anaweza jua nina ujauzito naomba mniambie nifanye kitu gani?
Hili liweze kupungua sababu linaharibu umbo langu nisaidieni?
Nipo mbele yenu wana JF nilitaka/nikiomba maelezo ya kina kwani wasomi wa mtaani/vijiweni/street university kuwa eti kumaliza kufika kileleni kabla ya mwenzio ni tatizo la kisaikolojia...
Wataalamu, kumekua na tatizo la kuota vinyama mbali mbali sehem za mwili ambavyo huota tu vyenyewe na kuondoka, nilishawahi kuwa navyo sehem za kwenye vigimbi vilikaa mda mrefu lakini vikaondoka...
kuna rafiki yangu mke wake ana ugonjwa wa gono ma anasema hajafanya mapenzi nje ya ndoa. Je, kuna uwezekano kwa mwanamke kupata ugonjwa huu bila kuambukizwa? Nisaidieni wana JF
Habari wakuu naombeni msaada wenu nashindwa kuelewa huu ni ugonjwa ganI yani ulimi wangu umekuwa kama na cracks hivi afu na kama hairy like stucture kwa katikati but maumivu hamna but kama...
Hivi ni kweli chanjo wanayodai watafiti wa ukimwi marekan kua ni yenye mafanikio inafaida kwa watu au wanataka tu kukuza uchumi wa nchi hiyo na kujizolea umaarufu?
Habari wanajf.
Napenda kuuliza hivi ni kweli hz dawa aina ya postonr 2 zinazuia mimba kwa kumezwa baada ya sex na je hazina madhara yoyote.
Napenda kujua zinafanya kazi vp hadi kuzuia mimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.