Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kuna mtoto anamakengeza ,nimesikia mtu mmoja nasema kuwa madaktari wanaweza kurekebisha kitu hicho kwa operation ndogo tu! Naomba mnijulishe utaalamu huu!
1 Reactions
2 Replies
3K Views
jamani msaada wenu, kama unataka kuni-tusi au hutoi msaada naomba upite tu. nahitaji msaada jamani wiki moja iliyopita nilirudi home nikiwa matingasi house-girl alipofungua mlango alikuwa na nguo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wanajamvi,kwanza kabisa poleni na majukumu ya kila siku pili hongera kwa kuzaliwa tanzania na kuongeza idadi ya waafrika. nikirudi ktk topic nduguzanguni nahitaj msaada wa ushauri ni nini...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
KWA UFUPI Hivyo, inakupasa kufanya utafiti ili kubaini ni make up ipi sahihi na haina madhara katika ngozi yako. Vipodozi au ‘Makeups’ ni urembo unaopendwa zaidi na wanawake wengi, dhamira...
2 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari wataalam, mwanangu ana miezi mi 3, alichomwa sindano begani akiwa hajafikisha mwezi. Siku zinavyozidi kwenda ndo kinundu kinaongezeka pale alipochomwa sindano. Na kumeanza kuwa kama jipu...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
TUJIHADHARI NA KUWA NA STRESS NYINGI INACHANGIA KUPATWA NA MARADHI HAYO HAPO JUU.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
This is interesting. After reading this, you'll never look at a banana in the same way again. Bananas contain three natural sugars - sucrose, fructose and glucose combined with fiber. A...
5 Reactions
11 Replies
4K Views
Gharama za huduma za kulipia matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili zimepanda maradufu. Hatua hiyo inayotekelezwa bila kuwashirikisha wadau na watoa huduma ilianza Septemba mosi mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naombeni niulize; Eti Ugonjwa wa Ulimi kuwa na Mabaka meupe unasababishwa na nini na Dawa yake ni nini?
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Chanjo ya ugonjwa wa malaria imegundulika huko marekani na wanasayansi na tayari wameifanyia majaribio na kugundua inaweza kutumika kama chanjo ya malaria
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Kuna rafiki yangu mmoja kanielezea tatizo kwamba yeye alifanya mapenzi, then alipoenda chooni kukojoa ikatoka damu kwenye mkojo, damu kabisa. kondomu alitumia, jamaa anashangaa kwamba ilikuwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari zenu wana jamvi... mimi ni kijana wa kiume, umri wangu ni 20's, ni tatizo moja, kila ninapokutana na mdada yeyote kimapenzi, huwa analalamika kwamba anaumia sana, pamoja na kwamba huwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu zangu ma Doctors, nilienda kupima mkojo nikaambiwa mkojo wangu hauna tatizo, ila nakojoa mkojo wa njano sana, nakunywa maji lakini still mkojo niwanjano sana, then nakojoa kila baada ya mda...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
naweza pata dawa ya malengelenge sehemu ya siri
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF! Ninahitaji msaada wenu tafadhali! Mzee wangu anaumwa figo zote mbili! Hospitali wamemuambia kuwa figo zote zina matatizo, zimefeli. Je, anaweza kupata dawa? Hii ni...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Hakuna dawa ambayo ipo pharmacetuical proven isiyokuwa na madhara(side effect).Dawa aina zote zina side effect kwa namna moja au nyingine.Kitu ambacho ni cha muhimu na tuwe makini nacho ni how...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Your body's pH level affects everything. You can buy pH testing strips from your local health foods store. Balancing your pH level is a major step toward well-being and better health. The pH...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa na mpenzi wangu chumbani wakati namuandaa ili tuanze kusex ghafla linatokeaga tukio la korodani zangu kuuma kama mtu anazibinya, baadhi ya marafiki walinambia kwamba nina shetani mahaba...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
ndugu wanajamvi hili ntatizo lnalopata vjana wanaume pind wafkapo miaka 15-25.tatzo hili linasababishwa na kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa mishpa ya vena inayopeleka damu ktika...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom