Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamani mmmh yani private hospitals siku hizi huduma zeeero kbisa bora hata mwananyamala,watu nyomi,wafanyakazi wachache halafu customer service mbovu, yani hata ukiwaza kwenda hospitali unatamani...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Nipo kwenye daladala nasikiliza kuhusu madawa ya kuongeza makalio na matiti.Wadada wanasema sababu ya kutumia hizo dawa ni wanaume wanapenda hayo maumbile makubwa,imefikia hatua sasa nguo za ndani...
0 Reactions
37 Replies
9K Views
wapendwa wanajukwaa mi nina tatizo ambalo nina imani wengi wetu pia linawasumbua na kuwakera. Tatizo lenyewe ni tumbo kutoa sauti inayokera . Wengi husema ni kwa sababu ya njaa lakini mimi...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
mimi ni mama wa mtoto mmoja (nategemea mwingine Mungu akijalia mapema mwakani),ana umri wa miaka mitatu,tatizo lake ni kuwa jamani hataki kula,nimejitahdi kadiri niwezavyo lakini sioni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kama una tatizo la meno ukienda muhimbili kitengo cha meno, kuwa makini sana sababu wanaleta madent( intern) kuwafanya practical kwenye vinywa vya watu. Kwahiyo kuweni makini ukiona anatumia muda...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari JF Doctor,naomba unipe ushauri juu ya hili tatizo langu,nimekuwa nikipata vargina discharges pamoja na kuwashwa sana sehemu hizo kwa siku tano sasa,je ninaweza kuwa na fungus?pia nikiskia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu wanajamii, nina mgonjwa wa ugonjwa wa kisukari hali yake ni mbaya sana. Madakitari wanameamua kumkata miguu. Tumepata habari za kuwepo hospitali ya Abbas Medical Centre...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nna shida ya kujua,nampata wapi dentist mzuri wa kusafisha meno yangu yana unjano,na kwa bei nafuu?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Am21yrz old, ila meambiwa nna uvimbe kwenye my right ovar, n nkafanya utrasaund kweli nliona hiyo sehem n ilikua tofaut na left one, ilikua mwez wa sita, ckupewa dawa ila doc aliniambia nirud...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari, Kwa wale wanaohitaji unga wa ugali wa dona wawasiliane na mimi. Unga huu umetengenezwa kutokana na mahindi na ngano bila kukoboa ili kubakisha virutubisho vyake mhimu kwa afya, umeongezwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello Wanajamii! Bila shaka kila mtu anaendelea vizuri na kazi zake za kila siku na hatuna budi kushukuru kwa hilo. Tunapenda kupanga mambo yetu ya kimaisha na yanatakiwa yaende kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu faida na pengine madhara anayoweza pata mtumiaji wa maziwa ya unga NIDO,kwa maana kunadaktari moja alimshauri mama mjamzito atumie kwa wingi na dokta mwingine...
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Nna shida ya kujua,nampata wapi dentist mzuri wa kusafisha meno yangu yana unjano,na kwa bei nafuu?
0 Reactions
0 Replies
862 Views
1) In the first 10 minutes: 10 teaspoons of sugar hit your system. (100% of your recommended daily intake.) You don’t immediately vomit from the overwhelming sweetness because phosphoric acid cuts...
3 Reactions
27 Replies
8K Views
Mambo matatu husabibisha maradhi katika mwili: 1:Kuzungumza sana. 2:Kulala sana. 3:Kula sana. >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>> Daima tuitumie fursa yetu ya uhai ipasavyo, tusipoteze wakati wetu...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
habari wanajf. nimekuwa na tatizo la mda mrefu sn la kukatika kwa nywele hasa wakati wa kuchana.kwa mwenye kufahamu dawa plz naomba msaada plz
0 Reactions
0 Replies
3K Views
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana...
7 Reactions
23 Replies
40K Views
Kimeta ni ugonjwa wa hatari unasababishwa na vimelea vya bacteria. Bakteria hawa hujulikana kama Bacillus anthracis, bacteria ambao wana uwezo wa kufanya mbengu. Mbegu hizi ni seli ambazo huweza...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
-Citrus fruits Food sucha as oranges and grapefruits are high in Vitamin C, which improve memory and performance. -Eggs Eggs are high in a memory buillding vitamin called choline. -Fish (...
0 Reactions
0 Replies
640 Views
Khabari za saa hizi wanajamvi! Kwanza shukran zangu za dhati kwa huduma na Ushauri tunazopata humu ndani kwa Kweli ni zenye faida chungu nzima kwa jamiii Naomba Msaada plz niko na siku 3...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom